
DIAMOND AMTAJA ALIYEMSHIKA MKONO
NASIB Abdul msanii anayepeperusha bendera ya Tanzania kitaifa na Kimataifa wengi wanamtambua kwa jina la Diamond amefichua siri yake na Legend kwenye muziki wa Bongo Fleva Henry Samir wengi wanamtambua kwa jina la Mr Blue. Diamond ameweka wazi kuwa Blue alikuwa naye bega kwa bega kabla hajatusua kitaifa kwa kumshika mkono hatua kwa hatua akiwa…