Home Sports WATAKUJA KIVINGINE KABISA CAF YANGA Sports WATAKUJA KIVINGINE KABISA CAF YANGA January 29, 2024 FacebookTwitterPinterestWhatsApp UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa utakuja kivingine kwenye mashindano ya kimataifa yanayosimamiwa na CAF pamoja na Ligi Kuu Bara ili kuwapa burudani Wananchi pamoja na kupata matokeo chanya kwenye mechi ambazo watacheza.