
LIGI KUU BARA: MASHUJAA 0-1 YANGA
FT: LIGI Kuu Bara Uwanja wa Lake Tanganyika Mashujaa 0-1 Yanga Goal Joseph Guede dakika ya 41. Bao la Joseph Guede limedumu mpaka mwisho wa mchezo katika mzunguko wa pili msimu wa 2023/24. Yanga imekomba pointi tatu mazima nakufikisha pointi 65 baada ya kucheza mechi 25. Mashujaa wapo kazini Uwanja wa Lake Tanganyika kusaka pointi…