>

AZAM FC SIO KINYONGE UJUE

MATAJIRI wa Dar Azam FC sio kinyonge ndani ya Ligi Kuu Bara kutokana na kasi wanayokwenda nayo kwenye mechi za ushindani msimu wa 2023/24. Timu hiyo imekuwa kwenye ubora ndani ya uwanja kutokana na rekodi bora inazopata na mchezo wake uliopita ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Majaliwa ukisoma Namungo 0-2 Azam FC mabao yote yakifungwa…

Read More

Bashiri na Meridianbet Jumatatu ya Leo

Ikiwa ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi ya mechi kibao zinaendelea leo hii abapo Meridianbet tayari wameshakuwekea ODDS KUBWA na machaguo uyatakayo hivyo ingia na uanze kubashiri sasa. LALIGA kutakuwa na mechi moja kali Osasuna atamenyana dhidi ya Valencia CF. Mwenyeji yupo nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi huku mgeni akiwa nafasi…

Read More

HIVI NDIVYO YANGA WANAICHUKULIA SIMBA

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa unawatazama wapizani wao Simba kwa utofauti kutokana na uimara walionao hivyo wanawaheshimu kuelekea mchezo wao wa Kariakoo Dabi. Yanga vinara wa Ligi Kuu Bara wanatarajia kukutana na Simba kwenye mchezo wa Karikoo Dabi unaotarajiwa kuchezwa Aprili 20 2024. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wanatambua ukubwa wa mchezo…

Read More

SIMBA WATAJA MIPANGO YAO

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kazi kubwa ni kupata pointi tatu kwenye mechi ambazo wanacheza ikiwa ni mchezo dhidi ya Yanga. Kariakoo Dabi inatarajiwa kuchezwa Aprili 20 2024 ambapo Yanga walimabingwa watetezi watawakaribisha Simba. Simba imetoka kupata pointi moja dhidi ya Ihefu kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Liti. Ahmed Ally, Meneja wa…

Read More

AZAM FC WAIKANDA NAMUNGO NYUMBANI

USHINDI waliopata Azam FC kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Majaliwa ukisoma Namungo 0-2 Azam FC unawaongezea nguvu kubaki nafasi ya pili ndani ya msimamo wa Ligi Kuu Bara. Matajiri wa Dar, Azam FC wameikanda Namungo ikiwa nyumbani mzunguko wa pili na kulipa kisasi cha kufungwa mzunguko wa kwanza walipokuwa Uwanja wa Azam Complex. Mabao…

Read More

Kasino ya Fruit Salad 100 Ushindi 95.06%

Ni wakati mwingine tena wa kufahamu kuhusu Michezo ya Kasino ya Mtandaoni iliyopo Merdianbet. Fruit Salad 100 unakupa nafasi ya kushinda kwa kiwango cha 96.06% Bonasi za kasino na alama nyingi za ushindi.   Fruit Salad 100 ni kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma Gaming Global. Katika mchezo huu, kuna ishara mbili maalum. Majokeri…

Read More

YANGA YAPETA SPORTPESA DABI

YANGA wanaondoka na faida ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Fountain Gate kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Ni kwenye SportPesa Dabi Yanga wameibuka wababe kwa kukomba pointi tatu muhimu kwenye mchezo huo baada ya dakika 90. Joseph Guede ameandika rekodi ya kufunga mabao mawili dakika ya 41 na dakika ya…

Read More

KAKOLANYA ATOROKA KAMBINI SINGIDA FOUNTAIN GATE

UONGOZI wa Singida Fountain Gate umebainisha kwamba kipa wao namba moja Beno Kakolanya ametoroka kambini. Taarifa iliyotolewa na Singida Fountain Gate inayoshiriki Ligi Kuu Bara imebainisha kuwa kipa huyo ametoroka muda mfupi wakiwa kwenye maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga. “Klabu ya Singida Fountain Gate inasikitishwa na kitendo cha mchezaji wetu…

Read More

SIMBA NGOMA NGUMU MBELE YA IHEFU

NGOMA imekuwa ngumu kwa Simba kuambulia pointi tatu kama ilivyo kwa Ihefu ambao nao wamekwama kubaki na ushindi wakiwa nyumbani kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Liti umesoma Ihefu 1-1 Simba ambapo waligawana vipindi kile cha kwanza ilikuwa ni mali ya Ihefu na kipindi cha pili Simba….

Read More