>

KILA LA KHERI TAIFA STARS

USHINDANI ni mkubwa na kila timu inafanya kweli kupata ushindi ndani ya uwanja hivyo muhimu ni kujituma na kupata matokeo chanya. Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo ina kibarua kingine kigumu kusaka ushindi dhidi ya DR Congo hautakuwa mchezo mwepesi hata kidogo. Kila timu inatafuta pointi tatu hivyo ni muhimu kwa wachezaji kujituma…

Read More

MITAMBO YA MABAO AZAM FC HII HAPA

WAKIWA ni vinara ndani ya Ligi Kuu Bara Azam FC kuna nyota wawili ambao ni mitambo ya mabao ikiwa ni pamoja na Feisal Salum na Kipre Junior. Timu hiyo chini ya Kocha Mkuu Yuuph Dabo ilikuwa kwenye mwendo mzuri wa ligi lakini kwenye Mapinduzi 2024 iligotea hatua ya robo fainali ilipokwama kupata ushindi mbele ya…

Read More

MRITHI MIKOBA YA BALEKE NI BALAA TUPU

MRITHI wa mikoba ya mshambuliaji, Jean Baleke ambaye anaondoka akiwa namba moja kwenye utupiaji ndani ya ligi akiwa katupia mabao 8, Michael Fred ana balaa kutokana na rekodi zake. Ni Michael Fred raia wa Ivory Coast anatajwa kubeba mikoba ya Baleke ambaye hatakuwa ndani ya kikosi cha Simba kwa msimu wa 2023/24 kwenye mechi zilizobaki…

Read More

Sloti ya Lucky Dolphin Kasino Yenye Mandhari ya Baharini

Unambiwa bahari imebeba viumbe vingi vya ajabu, samaki, majini na madini, lakini pia rasilimali zenye utajiri mkubwa kama mafuta na gesi kwa kiasi kikubwa vinapatikana baharini waulize wavuvi watakwambia juu ya maajabu ya baharini. Meridianbet kasino mtandaoni inakurudisha baharini kuusaka utajiri kupitia mchezo wa kasino unaitwa Lucky Dolphin.   Lucky Dolphin ni sloti ya kasino…

Read More

MBWANA SAMATTA AHESHIMIWE, KAZI YAKE NI KUBWA

“UKIKUBALI ujinga upewe nafasi werevu utapotea mithili ya moshi angani.” Kauli hii alikuwa anapenda kuitumia Mwalimu Dkt. Thadei Mwereke pale Chuo Kikuu cha Kampala ambapo niliwahi kusoma pale. Hii inamaanisha kwamba kamwe tusiruhusu ujinga kupenya kwenye dunia ya werevu. Mbwana Samatta moja ya tunu na fahari ya taifa letu bahati mbaya sana amejikuta kwenye dunia…

Read More

HIZI HAPA HESABU ZA AZAM FC

 UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi huwa mpango kazi wao ni kuendelea kupata matokeo mazuri kwenye mechi zijazo ndani ya Ligi Kuu Bara pamoja na mashindano mengine. Hasheem Ibwe Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa ambacho wanakihitaji ni kuwa kwenye kasi ileile waliyokuwa nayo kwenye ligi kwa kupata ushindi na burudani kuwapa mashabiki zao….

Read More