KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA YANGA FAINALI NGAO YA JAMII
NI fainali ya Ngao ya Jamii, Tanga ikiwa ni mchezo wa Kariakoo ndani ya Tanga kati ya Yanga dhidi ya Simba. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku ambapo Roberto Oliveira ametambulisha jeshi lake atakaloanza nalo namna hii:- Ally Salim Shomari Kapombe Mohamed Hussein Kennedy Juma Che Malone Sadio Kanoute Clatous Chama Mzamiru Yassin John…