YANGA 1-0 KMC, LIGI KUU BARA

MCHEZO wa kwanza kwenye Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 Yanga inaucheza leo Agosti 23 dhidi ya KMC. Dakika 45 za mwanzo zimemeguka huku Yanga kupitia kwa Dickson Job ambaye ni beki amepachika bao la kuongoza kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC. Ni dakika ya 16 Job wa Yanga mwenye tuzo ya…

Read More

MWANZO WA LIGI USHINDANI MUHIMU

KAZI imeanza kwenye anga la kitaifa na kimataifa kwa kila timu kuwa kwenye majukumu yao kutimiza kile ambacho ni muhimu uwanjani. Msimu mpya unakuwa na mengi mapya kuanzia ratiba pamoja na wachezaji kuwa katika presha ya kufanya vizuri zaidi kuongeza mwendo wa kuwa bora. Sio Namungo pekee wenye presha ya kufanya vizuri bali Singida Fountain…

Read More

KOCHA NAMUNGO ASHUSHA PRESHA

KOCHA Mkuu wa Namungo, Cedrick Kaze amesema kuwa watazidi kuwa imara taratibu kutokana na maandalizi ambayo wanayafanya kwenye mechi zao zote za ligi. Timu ya Namungo ilianza kwa kupoteza mchezo wa kwanza wa ligi dhidi ya JKT Tanzania kwa kufungwa bao 1-0 na mchezo wa pili ilipata sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya KMC….

Read More

GONJWA LINALOITESA SIMBA LAHAMIA YANGA

IPO wazi kuwa maumivu yanayowatesa mastaa wa Simba wakiongozwa na Clatous Chama na Saido Ntibanzokiza yanawaliza na mastaa wa Yanga kwenye anga la kitaifa na kimataifa. Ni janga la kutumia mapigo huru ya kona kwenye mechi zao wanazocheza kuwa ni hasara kubwa kwa kuwa hakuna iliyowapa bao ama kusababisha bao wakiwa uwanjani. Simba chini ya…

Read More

HAKI MUHIMU KUZINGATIWA NDANI YA LIGI KUU BARA

KASI ya Ligi Kuu Tanzania Bara mzunguko wa kwanza imekuwa kubwa na kila timu inaonyesha ushindani wake ndani ya dakika 90 kusaka ushindi hili ni jambo kubwa na muhimu. Sio Singida Fountain Gate, Namungo wala Ihefu zote zinapambana kufanya kweli hata zile ambazo zimepanda msimu huu kutoka Championship ikiwa ni Mashujaa na JKT Tanzania. Kila…

Read More

KAGERA SUGAR YAANZA KWA MWENDO WA KUSUASUA

FUNDO za walima miwa Kagera Sugar zinakatwa na wapinzani wao kila wanaposhuka uwanjani kwa kukwama kukomba pointi kwenye mechi mbili mfululizo za ligi ambazo ni dakika 180. Kagera Sugar chini ya Kocha Mkuu, Mecky Maxime kete yake ya kwanza ilikuwa Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma dhidi ya Mashujaa ilishuhudia ubao ukisoma Mashujaa 2-0 Kagera Sugar….

Read More

YANGA KUTUMIA MBINU ZA CAF KUWAKABILI KMC

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa maandalizi ambayo wanafanya kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika ni mwendelezo wa kurejea kwenye ligi kuendeleza kazi ya kutetea taji lao. Ipo wazi kuwa msimu wa 2022/23 Yanga ilitwaa taji la Ligi Kuu Bara huku watani zao wa jadi Simba wakigotea nafasi ya pili. Agosti 23 kikosi cha Yanga kinatarajiwa…

Read More

VIDEO: SIMBA YAFUNGUKIA ISHU YA PHIRI NA KUFUNGA

UONGOZI wa Simba umezungumzia juu ya nyota wao Moses Phiri kurejea katika kikosi na kufunga katika mchezo wa ligi. Phiri anatambua kwamba msimu wa 2022/23 ni Saido Ntianzokiza wanayecheza naye kikosi kimoja pamoja na Fiston Mayele aliyekuwa ndani ya Yanga walitwaa tuzo ya ufungaji bora. Nyota huyo wakati msimu unaanza alikuwa anakimbizana na Mayele wa…

Read More

LIGI IMEANZA NA UKIMYA, WAAMUZI MSINYONGE HADHARANI TENA

TUPO kwenye Ligi Kuu Bara, kipindi ambacho kilikuwa kinasubiriwa kwa hamu kubwa ikiwa ni msimu wa 2023/24. Mashabiki wa mpira nchini walisubiri kwa hamu kubwa kuona ligi inaanza tena. Hilo likatokea na tumefanikiwa kuona mambo yakienda vizuri sana. Ligi imekuwa na msisimko mkubwa licha ya kwamba, mabingwa watetezi Yanga wameshindwa kuanza mechi za ligi baada…

Read More

BEACH SOCCER NI MWENDO WA VICHAPO TU

KAZI imeanza kwenye Ligi ya Soka la Ufukweni 2023 ambapo timu zinaonyeshana uwezo kwenye mechi hizo ambazo zinachezwa Fukwe za Coco Beach na hakuna kiingilio. Agosti 19 Kundi A lilianza kuonyesha makeke kwa timu kusaka ushindi na ilikuwa ni mwendo wa kutembeza vichapo kwa wapinzani na hakuna sare iliyopatikana. Sayari Boys inaingia kwenye rekodi za…

Read More

AJIBU AFUNGA BAO LA AJABU KINOMANOMA

MSIMU wa 2023/24 bao la ajabu na nzuri limefungwa ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2023/24. Ipo wazi kwamba ni Yanga wanatetea taji la ubingwa baada ya kutwaa msimu wa 2022/23. Coastal Union ya Tanga ni mashuhuda wa Yanga wakitwaa ubingwa na msimu huu wameanza kwa kupoteza mchezo wa kwanza na ule wa…

Read More