NYOTA WA ZAMANI WA YANGA NA NAMUNGO USAJILI WAKE ACHA TU

MIONGONI mwa taarifa ambazo zilikuwa na sarakasi nyingi ni pamoja usajili wa nyota Mohamed Issa Banka kuibuka ndani ya Ruvu Shooting na kabla ya kuanza kucheza mkataba wake ukavunjwa. Banka ambaye amewahi kukipiga ndani ya kikosi cha Yanga, Namungo na Mtibwa Sugar alipaswa kuwa ndani ya kikosi cha Ruvu Shooting kwenye mzunguko wa pili katika…

Read More

MTAMBO WA MABAO AZAM UNAREJEA MDOGOMDOGO

KWENYE chati ya ufungaji mabao ndani ya Azam FC, Idris Mbombo ni namba moja akiwa ametupia mabao 7 kibindoni. Nyota huyo ni imara kwenye mapigo huru ikiwa ni pamoja na penalti aliwahi kuwatungua Ruvu Shooting bao moja Uwanja wa Mkapa. Hakuwa kwenye mwendelezo wake bora kutokana na kutokuwa fiti lakini kwa sasa ameanza kurejea mdogomdogo….

Read More

MWENDO WA POLISI TANZANIA UNAFIKIRISHA

MWENDO wake kwa msimu wa 2022/23 wa Polisi Tanzania sio wa ligwaride songa mbele bali ni ligwaride rudi nyuma ikiwa unafikirisha kwelikweli. Januari 14 ikiwa ugenini, ubao wa Uwanja wa Majaliwa ulisoma Namungo 0-2 Polisi Tanzania na walikamilisha dakika 90 wakiwa pungufu. Kwenye mchezo huo mchezaji wao mmoja alionyeshwa kadi nyekundu wakati wakiongoza bao moja…

Read More

NAMUNGO KAMILI KUIKABILI KMC

MCHEZO uliopita Namungo FC iliyeyusha pointi tatu mazima ikiwa nyumbani. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Majaliwa ulisoma Namungo 0-2 Polisi Tanzania. Leo Januari 24 kikosi hicho kina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya KMC yenye maskani yake Kinondoni. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Uhuru. Nyota Shiza Kichuya ameweka wazi kuwa…

Read More

MCHEZO WA KIPA SIMBA KUBUMA AZAM FC HUYU HAPA MTIBUAJI

MABOSI wa Azam FC walikuwa kwenye hesabu za kuinasa saini ya kipa namba mbili wa Simba, Beno Kakolanya. Dili hilo ghafla lilitibuka baada ya ya mabosi hao kupata zali la kipa mwingine ambaye walikuwa wakimfuatilia. Ikumbukwe kwamba kwenye dirisha dogo Azam FC imefanya usajili wa mchezaji mmoja pekee huku idara nyingine ikiwa ni ushambuliaji na…

Read More

YANGA YAKOMBA POINTI ZA RUVU SHOOTING

56 ni pointi ambazo wanazo kibindoni Yanga baada ya kupata ushindi kwenye mchezo wa leo dhidi ya Ruvu Shooting. Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 umesoma Yanga 1-0 Ruvu Shooting na kuwafanya wayeyushe pointi tatu mazima. Ni Mpoki Mwakinyuke ambaye ni nyota wa Ruvu Shooting alijifunga kwenye harakati za kuokoa hatari langoni mwake. Kipa…

Read More

KMC V NAMUNGO FC KESHO KINAWAKA

“TUNAHITAJI kushinda na sio matokeo mabaya kwenye mechi zetu ambazo tunacheza na kila kitu kinakwenda sawa,” ni Christina Mwagala, Ofisa Habari wa KMC. Timu hiyo inakibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Huo ni mzunguko wa pili ambapo kila timu inasaka ushindi kwa hali na mali kufikia…

Read More

RUVU SHOOTING WAIPAPASA MBELE YA WANANCHI

WANANCHI wanaongoza ndani ya dakika 45 za mwanzo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting. Ruvu Shooting wamejitungua wenyewe dakika ya 34 kupitia kwa nyota wao Mpoki Mwakinyuke. Licha ya Ruvu Shooting kujifunga bado Yanga ndani ya dakika 45 wameonyesha nguvu kubwa kuliandama lango la Ruvu Shooting wakimtumia mshambuliaji wao Fiston Mayele…

Read More

BRUNO AWATULIZA MATAJIRI WA DAR

REJEA andiko kwenye makala ya gazeti la Championi Jumamosi la Januari 21,2023 ukurasa wa tano. Labda ulikuwa na mambo mengi umesahau ngoja nikukumbushe kichwa cha habari cha makala hiyo, ‘Bruno Gomez… Akikufunga, pointi tatu sahau… Wakati makala inaandikwa tayari mwamba alikuwa ametupia kambani mabao 7 kwenye mechi sita na zote Singida Big Stars walisepa na…

Read More

WAZAWA ONYESHENI THAMANI ILE MNAYOSTAHILI

IMEKUWA ngumu kwa wachezaji wazawa kuwa kwenye mwendelezo bora kila wakati haina maana kwamba hawawezi hapana inaonekana wanakata tamaa mapema. Kwa sasa ukitazama kwenye kila idara wale ambao wanafanya vizuri ni wachezaji wakigeni hakika hili ni jambo ambalo lazima liwashtue wazawa. Angalau miaka ya hivi karibuni kwenye eneo la makipa wazawa walikuwa wanaonyesha ule uwezo…

Read More

YANGA YAMUANDIKIA BARUA FEI TOTO, WATAALAMU KUJADILI KIDOGO

SAKATA la nyota wa Yanga, Feisal Salum na mabosi wake Yanga bado halijafika mwisho ambapo waajiri wake hao wameweka wazi bado mchezaji ni mali yao. Fei aliwashukuru Yanga na kuweka wazi kuwa anahitaji kupata changamoto nyingine kwa kile kilichoelezwa kuwa amevunja mkataba na kurejesha fedha ambazo zilikuwa zinahitajika kwa mujibu wa mkataba wake. Kesi hiyo…

Read More

PIRA HILI KUTOKA YANGA RUVU KUKUTANA NALO

WAKATI Simba wakitamba kupiga pira Dubai kutokana na kambi yao ya wiki moja waliyoweka huko, vinara wa Ligi Kuu Bara Yanga wametamba kuwapigia pira popcon wapinzani wao Ruvu Shooting. Leo Uwanja wa Mkapa, Yanga watawakaribisha Ruvu Shooting kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza Yanga ilishinda kwa…

Read More