>

MATAJIRI 8 WAITANA YANGA FASTA

YANGA wanaonekana kuutaka mchezo wa Kariakoo Dabi, ni baada ya Kamati ya Mashindano ya timu hiyo, yenye watu nane imepanga kukutana leo Jumatano kwa ajili ya kuweka mikakati ya ushindi kuelekea mchezo huo. Dabi hiyo inatarajiwa kuzikutanisha timu hizo kongwe za Simba dhidi ya Yanga ambayo itapigwa Jumapili hii saa 11 jioni kwenye Uwanja wa…

Read More

YANGA NA SIMBA ZAKOMBA TUZO

WAKATI ikiwa ni presha ya kuelekea Kariakoo Dabi inayotarajiwa kupigwa Uwanja wa Mkapa, Novemba 5 2023 Yanga na Simba zimesepa na tuzo. Ni tuzo ya mchezaji bora ambayo imekwenda Yanga kwa nyota Aziz KI akiwashinda wachezaji wenzake alioingia nao fainali ikiwa ni Maxi Nzengeli wa Yanga na Moses Phiri wa Simba. KI kwa Oktoba alikuwa…

Read More

KUNA MAISHA BAADA YA DABI

MAISHA lazima yaendelee bila kujali jambo gani gumu ama jepesi litakutokea kwa wakati huo. Kikubwa kwa sasa kuelekea Kariakoo Dabi wachezaji kutambua kwamba kuna maisha baada ya mchezo huo. Muhimu kwa kila mmoja kutambua ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri. Kutimiza majukumu yake uwanjani kwa kucheza bila hofu. Haya yote yatawezekana ikiwa kila mmoja ataongeza…

Read More

SKUDU AFUNGUKIA JAMBO LAKE NA GAMONDI

SKUDU Makudubela nyota wa Yanga ameweka wazi kuwa hana tatizo lolote na benchi la ufundi la timu hiyo linalonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Nyota huyo ambaye ni ingizo jipya ndani ya Yanga akitokea Marumo Gallants hajawa na nafasi kikosi cha kwanza kutokana na ushindani wa namba uliopo ndani ya timu hiyo. Mbali na ushindani…

Read More

KWAKO PILATO WA KARIAKOO DABI

TIMU zenye kiwango bora zaidi kwa Ukanda wa Afrika Mashariki kwa kipindi cha misimu saba sasa, ni Simba na Yanga. Simba imesumbua kwa muda mrefu, hasa kimataifa, wamekuwa wawakilishi wazuri wa Tanzania na Afrika Mashariki yote. Mwendo wa Simba, umefanya soka la Tanzania taratibu kupata heshima kubwa kimataifa na ile heshima waliyowahi kuwa nayo Ethiopia…

Read More

BEKI WA KAZI YANGA AWAITA MASHABIKI KWA MKAPA

DICKSON Job beki wa Yanga ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba. Novemba 5 2023 Uwanja wa Mkapa, Simba watakuwa wenyeji wa Yanga katika msako wa poiñti tatu muhimu. Job ambaye ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi amesema wanatambua umuhimu wa mchezo huo watapambana. “Tuntambua umuhimu…

Read More

WYDAD HAO FAINALI AFL

KLABU ya  Waydad Casablanca ya Morocco  imefanikiwa kutinga hatua ya Fainal katika Mashindano ya African Football League mara baada ya kuiondosha Klabu ya Esperance De Tunis kwa Mikwaju ya Penati Klabu ya Wydad Imeibuka ushindi wa magoli 5 yaliyopatikana kwenye mikwaju ya Penati dhidi ya Esperance walioapata magoli 4 katika mikwaju ya Penati Watakutana na…

Read More

MANCHESTER UNITED YAMEWAKUTA TENA

MANCHESTER United mkeka umechanika tena baada ya kupoteza dhidi ya Manchester City kwenye Dabi mbele ya Newcastle United wamepoteza tena. Mwendo wa timu hiyo kwa sasa haupendezi ambapo mabosi wanatajwa kufikiria kuachana na Kocha Mkuu, Ten Hag ambaye alikuwa anapewa nafasi ya kufanya makubwa ndani ya kikosi hicho. Uwanja wa Old Trafford umesoma Manchester United…

Read More

NGOMA YA MASHUJAA IMEKUWA NZITO

MCHEZO wake wa kwanza langoni kipa namba mbili wa Azam FC Ali Ahmada kashuhudia wakikomba poiñti tatu ugenini na mabao matatu Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika umesoma Mashujaa 0-3 Azam FC. Kipre Junior dakika ya 52, Gibril Sillah dakika ya 70 na Allasane Diao alimtungua kwa kipa wa Mashujaa akitumia…

Read More

KIVUMBI LIGI DARAJA TATU PWANI KINAKUJA

KIVUMBI cha Ligi daraja la tatu kwa mkoa wa Pwani kinatarajiwa kuanza Novemba 4 2023 katika makundi mawili tofauti ambapo jumla ya timu 14 zitashiriki. Ligi hiyo ya Daraja la tatu ngazi ya mkoa inasimamiwa na Chama Cha Soka mkoa wa Pwani (COREFA) ambapo itachezwa kwa mfumo wa Kanda katika mkoa ikiwepo Kanda ya Kusini…

Read More

KOCHA YANGA AWASOMEA RAMANI SIMBA DAKIKA 180

NI Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amewasoma  wapinzani wao Simba kwa muda wa dakika 180 baada ya kuwachambua wapinzani wake. Novemba 5 Yanga wanatarajiwa kuwa wageni wa Simba kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi, Uwanja wa Mkapa. Yanga imekusanya pointi 18 baada ya kucheza mechi saba huku Simba pia wakiwa na pointi 18 baada ya…

Read More

KUPIGANA UWANJANI NI USHAMBA, MUDA WAKE UMEISHA

JUMA lililopita kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Ihefu FC kuna kipande cha video kilisambaa kikionyesha kundi la mashabiki wa Simba wakimshushia kichapo shabiki aliyefahamika kuwa ni wa Yanga kutokana na rangi ya mavazi yake. Vitendo hivi kuna nyakati vilishamiri na tulipaza sauti vikapotea lakini hivi sasa vinaonekana kurejea tena kwa…

Read More

KI KAWAPOTEZA WENGINE NDANI YA YANGA

KWENYE msako wa kuwania tuzo ya mchezaji bora ndani ya kikosi cha Yanga Oktoba ni Stephane Aziz Ki ameshinda tuzo hiyo. Kiungo huyo raia wa Burkina Faso alikuwa akiwania tuzo hiyo na nyota wengine wawili aliongia nao fainali. Ni beki wa kazi Dickson Job na Max Nzengeli ambao walichaguliwa kuwania tuzo hiyo. Aziz Ki atazawadiwa…

Read More

KIVUMBI CHA LIGI KUU BARA KIPO HIVI

KIVUMBI cha Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 kinaendelea ikiwa ni wiki ya 8 kwa timu kushuka uwanjani kusaka ushindi ndani ya dakika 90. Singida Fountain Gate leo watakuwa nyumbani baada ya kutoka kucheza mchezo wao wa ligi dhidi ya Yanga, Uwanja wa Mkapa. Watamenyana na Ihefu kwenye mchezo wa leo Novemba Mosi Uwanja wa…

Read More