MCHEZO wake wa kwanza langoni kipa namba mbili wa Azam FC Ali Ahmada kashuhudia wakikomba poiñti tatu ugenini na mabao matatu
Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika umesoma Mashujaa 0-3 Azam FC.
Kipre Junior dakika ya 52, Gibril Sillah dakika ya 70 na Allasane Diao alimtungua kwa kipa wa Mashujaa akitumia pasi ya Feisal Salum dakika ya 73.