>

YANGA WABABE HAO FAINALI KIMATAIFA

NGOMA imesoma Gallants Marumo 1-2 Yanga ukiwa ni mchezo wa hatua ya nusu fainali ya pili Kombe la Shirikisho Afrika. Kazi kubwa imefanywa na wachezaji wote wa Yanga wakiongozwa na Nasreddine Nabi ambaye ni Kocha Mkuu. Ni Fiston Mayele alianza kupachika bao la kuongoza kwa Yanga dakika ya 44 kisha ngoma ikapachikwa na Kenned Musonda…

Read More

AZAM FC YAIVUTIA KASI COASTAL UNION

AZAM FC chini ya Kali Ongala imeanza maandalizi kuelekea mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara. Timu hiyo itakuwa ugenini dhidi ya Coastal Union, utakaochezwa Uwanja Mkwakwani, Tanga, Mei 24 mwaka huu saa 10.00 jioni. Azam FC mchezo wake uliopita ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Azam Complex ukisoma Azam FC 1-2 Namungo FC. Kocha Mkuu…

Read More

BOCCO NGOMA BADO NZITO

NAHODHA wa Simba, John Bocco ndani ya Ligi Kuu Bara ngoma bado ni nzito kwenye upande wa kucheka na nyavu. Kinara wa utupiaji ni Fiston Mayele wa Yanga mwenye mabao 16 na pasi mbili za mabao. Nahodha huyo mzawa ambaye ni mfungaji bora wa muda wote akiwa amefunga mabao zaidi ya 100 msimu huu kagotea…

Read More

GALLANTS MARUMO 0-1 YANGA KIMATAIFA

IKIWA ugenini Klabu ya Yanga imeendeleza ubabe ndani ya dakika 45 za mwanzo. Ubao unasoma Marumo Gallants 0-1 Yanga mtupiaji ni Fiston Mayele. Mayele kapachika bao hilo dakika ya 44 baada ya kuwazidi ujanja mabeki wa Gallants ambao walikuwa wanakwenda kufanya shambulizi. Mlima mzito kwa Gallants kupindua meza wakiwa nyumbani wanadaiwa mabao matatu kuweka usawa…

Read More

JESHI LA YANGA DHIDI YA MARUMO AFRIKA KUSINI

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema mabadiliko katika kikosi cha kwanza dhidi ya Marumo Gallants ni muhimu kwa ajili ya kupata ushindi. Ni Mudhathir Yahya na Kennedy Musonda wameingia kikosi cha kwanza na walikosekana katika kikosi cha kwanza kilichoanza Uwanja wa Mkapa. Nabi Leo ameanza namna hii:- Diarra Djigui Dickson Job Kibwana Shomari Bacca…

Read More

KAPOMBE BADO HAJAPATA MBADALA WAKE SIMBA

SHOMARI Kapombe beki wa kazi ndani ya kikosi cha Simba ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Roberto Oliveira. Pasi yake ya sita kwenye ligi ilikuwa dhidi ya watani wa jadi, Yanga Uwanja wa Mkapa. Kwenye mchezo huo baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 2-0 Yanga. Ikiwa hatakuwa fiti hapo ni pasua kichwa kwa…

Read More

NABI AFURAHIA MASHABIKI WA MARUMO

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema wanapenda kucheza na mashabiki hivyo jambo ambalo wapinzani wao wamefanya ni zuri. Leo Yanga inatarajiwa kutupa kete kwenye mchezo wa nusu fainali ya pili dhidi ya Marumo Gallants ya Afrika Kusini ambao watakuwa nyumbani. Kwenye mchezo wa leo wapinzani wao wamefuta kiingilio wakihitaji kuwa na mashabiki wengi ili…

Read More

WAKALI WA PASI ZA MWISHO BONGO HAWA HAPA

KWENYE mitupio ya mabao ambao hutazamwa kwa ukaribu yule mtu wa mwisho kutokana na kazi anayofanya ndani ya uwanja katika kutupia. Ipo wazi kwamba mabingwa wa ligi msimu wa 2022/23 ni Yanga ambao wametwaa ubingwa huo wakiwa na pointi 74. Yanga ina mechi mbili mkononi za kukamilisha mzunguko wa pili. Haitokei bahati mbaya ngoma ikazama…

Read More

YANGA KAZI BADO HAIJAGOTA MWISHO

USIOGOPE  kukabiliana na magumu kwa kuwa yanakukomaza uwe imara zaidi hivyo itakuwa hivyo kwa wawakilishi wa Tanzania Yanga kwenye anga la kimataifa. Ushindi wa mchezo wa kwanza haina maana kwamba kazi imegota mwisho bado kuna safari nyingine kukamilisha mwendo wa kuifuata fainali. Nyumbani ilikuwa furaha kwa kuwa kila mmoja aliona namna wachezaji walivyocheza kwa kujituma…

Read More

NABI KUWASHANGAZA MARUMO, HAWA HAPA KUKOSEKANA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amepanga kuwashangaza wapinzani wake Marumo Gallants kutokana na mpango kazi atakaotumia kwenye mchezo huo kuwa tofauti na ule wa awali. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao ulisoma Yanga 2-0 Gallants na mabao yakifungwa na Aziz KI na Bernard Morrison. Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe amesema kuwa kutakuwa…

Read More

BANDA KAJENGA KIBANDA NDANI YA MSIMBAZI

KIUNGO wa Simba Peter Banda ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 amejenga kibanda chake mwenyewe kwa kushindwa kuonyesha makeke yake ndani ya uwanja. Moja ya sababu kubwa iliyofanya awe nje ya uwanja kwa muda mrefu ni kupambania hali yake kutokana na kutokuwa fiti kwa muda mrefu. Banda hana uhakika wa kuanza kikosi cha…

Read More