>

YANGA YATINGA ROBO FAINALI,YALIPA KISASI

YANGA imetinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho kwa ushindi wa mabao 2-0 US Monastir ya Tunisia. Hiki ni kisasi ambacho wamekilipa Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kwa kuwa mchezo waliokutana nao ugenini nao walitunguliwa mabao 0-2. Ngoma ilikuwa ni mwendo wa mojamoja kila kipindi ambapo Kenned Musonda alianza kupachika bao…

Read More

MWEDNO WA RUVU NI WA KINYONGA

MWENDO wa Ruvu Shooting kwa msimu wa 2022/23 hakika ni wa kinyonga kutokana na kushindwa kuwa kwenye ule ubora wao wa kupapasa. Kwenye msimamo ipo nafasi ya 15 imekusanya pointi 20 baada ya kucheza mechi 25. Ukuta wao umeruhusu kutunguliwa mabao 30 huku ile safu yao ya ushambuliaji ikitupia mabao 16. Timu hiyo imepoteza jumla…

Read More

YANGA 1-0 US MONASTIR

UBAO wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 1-0 US Monastri ikiwa ni mchezo wa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho. Yanga wanapambana kusepa na pointi tatu muhimu kujihakikishia nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali. Bao la kuongoza limefungwa na Kenned Musonda kipinda cha kwanza dakika ya 33. Musonda ametimiza majukumu yake akitumia pasi ya…

Read More

ARSENAL YATEMBEZA 4G

ARSENAL haina utani baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Ni Gabrie Martinell dakika ya 28,Bukayo Saka alitupia kambani mawili dakika ya 43 na 74 na ile kamba ya nne ni mali ya Graniti Xhaka ilikuwa dakika ya 55. Bao pekee la wapinzani wao…

Read More

YANGA V US MONASTIR LEO WAKUBWA KAZINI

LEO ndiyo leo asemaye kesho huyo ni muongo hatimaye ile siku imewadia na kazikazi kwa wakubwa inatarajiwa kufanyika Uwanja wa Mkapa. Ni wenyeji Yanga chini ya kocha Nasreddine Nabi raia wa Tunisia kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya US Monastir vinara wa kundi D wakiwa na pointi 10 wote wamecheza mechi nne. Hapa tunakuletea…

Read More

IHEFU WAMEZIMA NDOTO ZA AZAM FC MAZIMA

MATUMAINI ya Azam FC kutwaa ubingwa kwa msimu wa 2022/23 yamezimwa mazima na Ihefu baada ya Machi 13,2023 kuwatungua bao 1-0 Uwanja wa Highland Estate, Mbeya. Bao pekee la ushindi kwa Ihefu lilifungwa na Rafael Loth dakika ya 38 na kuwapoteza Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala. Kuyeyusha pointi tatu ugenini kunaifanya Azam…

Read More

UNATAKA USHINDI MKUBWA, NJOO HUKU | EXPANSE KASINO

Kila siku Meridianbet wanatoa pesa kibao kupitia michezo yake ya Kasino ya mtandaoni ambayo kwa dau dogo tu unaweza kutimiza ndoto zako ambazo umekuwa ukizifikiria kwa muda sasa. Unajua ni shlingi ngapi hutolewa na Meridianbet kupitia Promosheni ya Expanse Kasino? Ingia na ucheze kwani TZS 800,000 ni yako sasa. Meridianbet wakali wa Kasino ya mtandaoni…

Read More