SIMBA YAIBUKA NA USHINDI DHIDI YA VIPERS

LICHA ya ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 1-0 Vipers bado lile pira Dubai kwa Simba linasakwa kwa tabu sana na ubutu wa ushambuliaji ukiwa ni shida. Bao pekee la ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa hatua ya makundi limefungwa na Clatous Chama katika dakika ya 45. Shukrani kwa Aishi Manula kwa kazi…

Read More

CHUMA CHA KAZI NDANI YA AZAM FC

NI moja ya mazao ya Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala akiwa anaaminika kwenye kikosi cha wale wakubwa wanaoshiriki Ligi Kuu Bara. Nyota huyo ni Cyprian Kachwele ambaye ni mshambuliaji kutoka kwenye chuo cha kulelea vipaji ndani ya Azam Academy. Wakati Novemba 15 mwaka huu, akitarajia kutimiza umri wa miaka 16, Kachwele alifunga…

Read More

SIMBA 1-0 VIPERS

UWANJA wa Mkapa ikiwa ni Jumanne ya Wenye Nchi wanaongoza ndani ya dakika 45 za mwanzo. Ni bao la Clatous Chama ambalo limefungwa dakika ya 45 na kufanya ubao kusoma Simba 1-0 Vipers. Ugonjwa wa Simba kwenye umaliziaji hasa eneo la mwisho kwenye mechi za kimataifa bado haujapata tiba kutokana na nafasi nyingi za wazi…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA REAL BAMAKO

KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Vipers Uwanja wa Mkapa Aishi Manula Shomari Kapombe Henock Inonga Joash Onyango Mohamed Hussein Mzamiru Yassin Sadio Kanoute Clatous Chama Saidi Ntibanzokiza Pape Sakho Moses Phiri Akiba Beno Kakolanya Israel Mwenda Kennedy Juma Jonas Mkude Peter Banda Erasto Nyoni John Bocco Jean Baleke Habib Kyombo

Read More

SABABU YA SURE BOY KUIKOSA REAL BAMAKO IPO HIVI

VIONGOZI wa Klabu ya Yanga ikiwa ni pamoja na Rais Injnia Hersi Said leo Machi 7,2023 leo mchana walishiriki kwenye mazishi ya kumuaga mtoto wa mchezaji Salum Abubakar, Magomeni, Dar es Salaam. Pia Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi naye alikuwa miongoni mwa waliohudhuria. Kwa mujibu wa Nabi, kiungo huyo hatakuwa sehemu ya kikosi kitakachopambana…

Read More

KMC KWENYE KIBARUA KINGINE TENA

IKIWA imefungashiwa virago kwenye Kombe la Azam Sports Federation ubao wa Uwanja wa Manungu uliposoma Mtibwa Sugar 1-0 KMC kuna kibarua kingine kizito kinawakabili. KMC chini ya Kocha Hitimana Thiery haijawa na mwendo mzuri kwenye mechi zake za ligi na sasa matumaini ya kutwaa taji la Azam Sports Federation yameyeyuka baada ya kuondolewa hatua ya…

Read More

YANGA YAIPIGIA HESABU NDEFU REAL BAMAKO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa unahitaji kuvunja rekodi ya mabao waliyowafunga TP Mazembe kwenye mchezo wa kimataifa. Timu hiyo ikiwa chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi Machi 8 in kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Real Bamako ambapo mchezo wao uliopita waligawana pointi mojamoja nchini Mali. Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema…

Read More

HESHIMA KWA MKAPA KIMATAIFA USHINDI

HESHIMA ya Uwanja wa Mkapa kwenye mechi za kimataifa ni ushindi hilo linawastahili Watanzania na mashabiki wote ambao wanapenda matokeo mazuri. Ipo hivyo kwa sasa wawakilishi wetu kwenye anga la kimataifa Yanga na Simba wanakazi kubwa kusaka pointi tatu muhimu. Simba wataanza kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo watakabiliana na Vipers mchezo ambao…

Read More

TIZI LA MWISHO LA SIMBA LILIKUWA NOMA

KIKOSI cha Simba jana Machi 6,2023 kilifanya mazoezi ya mwisho Kwa ajili ya kuikabili Vipers mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa ni hatua ya makundi. Simba ambayo ipo kundi C ikiwa na pointi tatu nafasi ya tatu Leo ina kibarua cha kusaka pointi nyingine Uwanja wa Mkapa Saa 1:00 usiku. Katika mazoezi hayo wachezaji…

Read More