
YANGA WAPIGA HESABU KUMALIZA KAZI MAPEMA KIMATAIFA
CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga ameweka wazi kuwa kweye mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika hawadharau wapinzani wao na badala yake wanahitaji ushindi dakika za mwanzo. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi inakibarua cha kusaka ushindi Ligi ya Mabingwa raundi ya Pili dhidi ya Al Hilal mchezo unaotarajiwa kuchezwa Oktoba 8, Uwanja wa…