>

MORRISON,ONYANGO MIKATABA YAO YAWEKWA KANDO SIMBA

MAMBO ni magumu kwa sasa ndani ya Simba kutokana na mwendo wa kusuasua hasa kwenye matokeo waliyopata kwenye mechi tatu mfululizo ugenini jambo lililofanya mikataba ya mastaa wengi kuwekwa kando. Habari kutoka chanzo cha kuaminika ndani ya Simba zimeeleza kuwa kwa sasa hakuna mchezaji hata mmoja ambaye ameitwa kufanya mazungumzo kuhusu kuongeza mikataba yao ili waweze kuhudumu ndani ya kikosihicho. Miongoni mwa mastaa ambao mikataba yao inatarajiwa…

Read More

RATIBA YA LEO LIGI KUU BARA

AZAM FC itakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Dodoma Jiji kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Azam Complex. Azam FC ipo nafasi ya nne ikiwa na pointi 21 inakutana na Dodoma Jiji iliyo nafasi ya 8 na pointi 17. Kesho Februari 4 kutakuwa na mchezo kati KMC v Biashara United. Mchezo…

Read More

TANZANIA YAINGIA 10 BORA

SHIRIKISHO la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu (IFFHS) limetangaza orodha ya Ligi Bora duniani kwa mwaka 2021, ambapo Ligi Kuu ya Brazil (Serie A) imeshika nafasi ya kwanza. Ligi Kuu Tanzania imepanda kwa nafasi tisa (9) kutoka nafasi ya 71 (2020) hadi nafasi ya 62 (2021) duniani huku kwa Afrika ikishika…

Read More

CHICO WA YANGA APEWA KAZI HII KIKOSINI

PAMOJA na mashabiki wa Yanga kuendelea kuwa na shauku ya kutaka kumuona winga wao mpya raia wa DR Congo, Chico Ushindi akifanya mambo yale aliyokuwa akiyaonesha enzi hizo akiwa na TP Mazembe, unaambiwa kocha wa timu hiyo, Nasreddine Nabi, kumbe anamuandaa kwa ajili ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara. Winga huyo amejiunga na Yanga kwenye usajili wa dirisha dogo uliofungwa Januari 15, mwaka huu akitokea TP Mazembe. Chanzo chetu kutoka katika kambi…

Read More

SIMBA YASHINDA KWA PENALTI MBELE YA PRISONS

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba leo wepata ushindi mbele ya Tanzania Prisons baada ya mechi tatu za ugenini kushindwa kupata matokeo. Bao la ushindi limepachikwa na Meddie Kagere baada ya mwamuzi wa kati kuamua ipigwe penalti ambayo ilikuwa ikionekana kupingwa  na wachezaji wa Prisons. Jumla Simba inakuwa imefunga mabao 15 katika mechi 14…

Read More

UWANJA WA MKAPA NGOMA NZITO SIMBA 0-0 PRISONS

Dakika 45 Uwanja wa Mkapa timu zote hazijafungana katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Ubao unasoma Simba 0-0 Tanzania Prisons na timu zote mbili zinacheza kwa nidhamu kubwa hasa katika eneo la ulinzi. Prisons madhambulizi yao ni ya kustukiza na wamepata kona mbili kuelekea lango la Simba huku Simba ikiwa imepata kona nne na zote…

Read More

BOXER BADO UNA MUDA WAKURUDI TENA KATIKA UBORA

Zama za Mwinyi Zahera alikuwa katika ubora na aliaminika kikosi cha kwanza jumlajumla ni Paul Godfrey wengi wanapenda kumuita Boxer.. Aliweza kumuweka benchi Juma Abdul mzee wa kumwaga maji ambaye pia alikuwa ni nahodha msaidizi katika kikosi cha Yanga. Majeruhi yaliweza kuirudisha nyuma kasi yake kisha hata aliporudi hajaweza kurudi kwenye ule ubora. Alipata nafasi…

Read More

MAYELE LIMEMKUTA JAMBO HUKO

BAADA ya kuona mabeki wa timu pinzani wakimkamia kila wanapokuwa uwanjani, Kocha Mkuu wa Yanga raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, amemtaka straika wake, Fiston Mayele kuhakikisha hakai na mpira mguuni kwa muda mrefu ili kujiepusha na kupata majeraha yatakayoigharimu timu. Mayele ndiye straika tegemeo kwenye kikosi cha Yanga akiwa kinara wa mabao akifunga sita ndani ya Ligi Kuu Bara, huku wikiendi iliyopita akifunga bao pekee kwenye ushindi wa 1-0 dhidi ya Mbao FC na kufuzu…

Read More

KILA LA KHERI TANZANITE, MSITUANGUSHE

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 20, Tanzanite Queens kimewasili salama Adis Ababa nchini Ethiopia. Na lengo kubwa la kiweza kufika huko ni kwa ajili ya mchezo wa kuwania kusaka tiketi ya kushiriki Kombe la Dunia. Utakuwa ni mchezo wa marudio dhidi ya timu ya Wanawake ya Ethiopia kesho…

Read More

NAHODHA SIMBA:TUNAZIHITAJI POINTI TATU ZA PRISONS

NAHODHA msaidizi wa Simba, Gadiel Michael amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons. Simba ikiwa nafasi ya pili na pointi 25 ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Prisons inayokwenda kwa mwendo wa pira gwaride. Ikumbukwe kwamba Simba kwenye mechi tatu za ligi ilizocheza ugenini imeambulia…

Read More

ONYANGO,WAWA HAWAWATISHI PRISONS

JEREMIA Juma, nyota wa kikosi cha Tanzania Prisons amesema kuwa hana mashaka na mchezo wa leo dhidi ya Simba yenye mabeki wakongwe ikiwa ni pamoja na Henock Inonga, Pascal Wawa na Joash Onyango. Juma ni mshambuliaji pekee ambaye amefunga hat trick kwenye ligi msimu wa 2021/22 na aliwatungua Namungo FC kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa…

Read More

AZAM FC WANAUTAKA UBINGWA WA KOMBE LA FA

KOCHA Mkuu wa Azam raia wa Marekani,  Abdi Hamid Moallin ameweka wazi kuwa kipaumbele chake kikubwa mara baada ya kurasimishwa kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho, ni kuhakikisha wanashinda ubingwa wa Kombe la Shirikisho la Azam (FA) linalotetewa na Simba. Moallin alitangazwa rasmi kuchukua majukumu ya ukocha mkuu ndani ya kikosi chaAzam Januari 25, mwaka huu mara baada ya kuiongoza klabu hiyo kwa mafanikio kama kaimu kocha mkuu tangu…

Read More

CHAMA, BWALYA WAMPA KOCHA KOCHA SIMBA JEURI

UWEZO mkubwa ambao umeonyeshwa na kikosi cha Simba hususani viungo wao raia wa Zambia, ClatousChama na Rally Bwalya kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam dhidi Dar City umemuibua kocha mkuu, Pablo Franco ambaye ameweka wazi kuwa hawatakata tamaa kuhusu ubingwa wao na watapambana kushinda kila mchezo ulio mbele yao.   Simba Januari 30,…

Read More

FARID MUSSA ANAKUJA ANAKATAA

FARID Mussa,kiungo wa Yanga ni miongoni mwa viungo ambao kuna muda wanakupa kile kilicho bora na muda mwingine anakupa kitu ambacho hujatarajia. Kwa msimu wa 2021/22 hajawa kwenye bora licha ya kupata nafasi katika mechi za Ligi Kuu Bara pamoja na Kombe la Shirikisho. Ndani ya Yanga ametoa pasi moja ya bao na hajaweza kufunga…

Read More