Home Sports VIDEO:KOCHA TANZANIA PRISONS AKUBALI KWAMBA SIMBA NI TIMU BORA

VIDEO:KOCHA TANZANIA PRISONS AKUBALI KWAMBA SIMBA NI TIMU BORA

SHABAN Kazumba, Kocha Msaidizi wa Tanzania Prisons ameweka wazi kwamba wapinzani wake Simba ambao anakwenda kukutana nao kesho kwenye mchezo wa ligi Uwanja wa Mkapa majira ya saa 1:00 usiku ni timu bora hivyo wanawaheshimu lakini jambo pekee ambalo waahitaji ni pointi tatu.

Previous articleCHAMA, BWALYA WAMPA KOCHA KOCHA SIMBA JEURI
Next articleUTAZAME MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI