YANGA YAAMBULIA KICHAPO MBELE YA VIPERS SC

 DAKIKA 90 zimekamilika na ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Yanga 0-2 Vipers SC kwenye mchezo wa kirafiki. Mchezo wa leo ulikuwa maalumu kwa ajili ya utambulisho wa wachezaji pamoja na uzi mpya wa Yanga utakaotumika msimu wa 2022/23. Ni kwenye kilele cha Wiki ya Mwananchi leo Agosti 6,2022 ambapo mashabiki na wanachama wa Yanga…

Read More

BM 33:NIMERUDI JAMANI,AOMBA MSAMAHA KWA MASHABIKI

KIUNGO wa Yanga, Bernard Morrison ambaye amerejea katika kikosi hicho kwa kusaini dili la miaka miwili ameweka wazi kuwa anahitaji msamaha kwa yale ambayo aliyafanya na sasa amerejea. Jina la kiungo huyo lilipotajwa aliingia uwanjani huku akisema nimerudi,nimerudi jamani. Nyota huyo alitambulishwa kwa mara ya kwanza na Yanga kabla ya kusaini dili la miaka miwili…

Read More

YUSUPH MHILU WA SIMBA ASAINI KAGERA SUGAR

MSHAMBULIAJI Yusuph Mhilu amepewa dili la mwaka mmoja kuweza kuitumikia Klabu ya Kagera Sugar. Ni mwaka mmoja ameweza kusaini kuitumikia timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara na inatumia Uwanja wa Kaitaba. Atakuwa hapo kwa mkopo kwa kuwa alisaini dili la miaka mitatu Simba na ametumia mwaka mmoja. Msimu uliopita wa 2021/22 hakuwa chaguo la kwanza…

Read More

UWANJA WA MKAPA MAMBO NI BYUTIBYUTI

UWANJA wa Mkapa mambo ni byutibyuti,mashabiki wa Yanga baadhi tayari wapo ndani ya uwanja kusubiri burudani na utambulisho wa wachezaji wapya huku mambo yakiwa ni byutibyuti. Mbali na utambulisho huo pia kuna mechi ya kimataifa ya kirafiki ambayo inatarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku itakuwa dhidi ya Vipers SC. Mgeni rasmi wa shughuli ya leo ni Makamu…

Read More

BEACH SOCCER TIMU YA TAIFA KAZI NI KESHO

HATIMAYE kikosi cha Timu ya Taifa ya Soka la Ufukweni ‘Beach Soccer’ ambacho kinajiandaa na mchezo wa marudiano wa kufuzu AFCON (BSAFCON) dhidi ya Malawi utakaofanyika kesho Agosti 7, 2022, yameendelea kufunga hesabu yake ya maandalizi hayo kwenye Fukwe za Coco jijini Dar es Salaam. Katika mazoezi ya mwishomwisho yaliyofanyika jana Ijumaa Agosti 5  na…

Read More

MAKOCHA SIMBA NA YANGA KUIBIANA MBINU KWA MKAPA

ZIKIWA zimebaki siku 6 kabla ya watani wa jadi kukutana kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii,Agosti 13 ipo wazi kuwa makocha wote wawili wataibiana mbinu. Ni mchezo wa Yanga v Simba ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa na timu zote zinahitaji ushindi kwa kuwa hakuna sare katika mchezo huo. Nasreddine Nabi,Kocha Mkuu wa Yanga atakuwa wa…

Read More

WIKI YA MWANANCHI NI LEO UWANJA WA MKAPA

AGOSTI 6,2022 leo ni kilele cha Wiki ya Mwananchi ambayo ilikuwa imeambatana na matukio ya kurejesha kwa jamii. Pitso Mosimane kocha mwenye uzoefu na mechi za kimataifa Afrika ambaye ni raia wa Afrika Kusini ni miongoni mwa watakaoshudia mchezo wa kimataifa wa kirafiki wa Yanga inayonolewa na Nasreddine Nabi dhidi ya Vipers FC ya Uganda….

Read More

POLISI TANZANIA INASHUSHA WAPYA KWA KASI

IKIWA kwenye maboresho ya kikosi chao kwa msimu wa 2022/23 Klabu ya Polisi Tanzania imemalizana na kiungo wa kimataifa Ambroes Awio raia wa Ugada pamoja na mzawa Khamis Kanduru. Wote wawili  wamesaini  mkataba wa miaka miwili hivyo kwa msimu ujao watakuwa ndani ya kikosi hicho ambacho kimeweka kambi Dar. Msimu uliopita Awio alikuwa ndani ya…

Read More