
LEBRON JAMES AWA MCHEZAJI WA KWANZA BILIONEA AKICHEZA LIGI YA NBA
LeBron James– Nyota mara 18 wa mpira wa vikapu nchini Marekani NBA na bingwa mara 4 wa NBA, mbali na kuwa mshindi wa medali ya dhahabu mara 2 kwenye Olimpiki – amepiga hatua nyingine muhimu, wakati huu akifanya kitu ambacho hakuna mchezaji mwingine wa NBA amewahi kufanya. Baada ya mwaka mwingine mbaya wa mapato– ya…