>

MAYELE LIMEMKUTA JAMBO HUKO

BAADA ya kuona mabeki wa timu pinzani wakimkamia kila wanapokuwa uwanjani, Kocha Mkuu wa Yanga raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, amemtaka straika wake, Fiston Mayele kuhakikisha hakai na mpira mguuni kwa muda mrefu ili kujiepusha na kupata majeraha yatakayoigharimu timu. Mayele ndiye straika tegemeo kwenye kikosi cha Yanga akiwa kinara wa mabao akifunga sita ndani ya Ligi Kuu Bara, huku wikiendi iliyopita akifunga bao pekee kwenye ushindi wa 1-0 dhidi ya Mbao FC na kufuzu…

Read More

KILA LA KHERI TANZANITE, MSITUANGUSHE

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 20, Tanzanite Queens kimewasili salama Adis Ababa nchini Ethiopia. Na lengo kubwa la kiweza kufika huko ni kwa ajili ya mchezo wa kuwania kusaka tiketi ya kushiriki Kombe la Dunia. Utakuwa ni mchezo wa marudio dhidi ya timu ya Wanawake ya Ethiopia kesho…

Read More

NAHODHA SIMBA:TUNAZIHITAJI POINTI TATU ZA PRISONS

NAHODHA msaidizi wa Simba, Gadiel Michael amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons. Simba ikiwa nafasi ya pili na pointi 25 ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Prisons inayokwenda kwa mwendo wa pira gwaride. Ikumbukwe kwamba Simba kwenye mechi tatu za ligi ilizocheza ugenini imeambulia…

Read More

ONYANGO,WAWA HAWAWATISHI PRISONS

JEREMIA Juma, nyota wa kikosi cha Tanzania Prisons amesema kuwa hana mashaka na mchezo wa leo dhidi ya Simba yenye mabeki wakongwe ikiwa ni pamoja na Henock Inonga, Pascal Wawa na Joash Onyango. Juma ni mshambuliaji pekee ambaye amefunga hat trick kwenye ligi msimu wa 2021/22 na aliwatungua Namungo FC kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa…

Read More

AZAM FC WANAUTAKA UBINGWA WA KOMBE LA FA

KOCHA Mkuu wa Azam raia wa Marekani,  Abdi Hamid Moallin ameweka wazi kuwa kipaumbele chake kikubwa mara baada ya kurasimishwa kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho, ni kuhakikisha wanashinda ubingwa wa Kombe la Shirikisho la Azam (FA) linalotetewa na Simba. Moallin alitangazwa rasmi kuchukua majukumu ya ukocha mkuu ndani ya kikosi chaAzam Januari 25, mwaka huu mara baada ya kuiongoza klabu hiyo kwa mafanikio kama kaimu kocha mkuu tangu…

Read More

CHAMA, BWALYA WAMPA KOCHA KOCHA SIMBA JEURI

UWEZO mkubwa ambao umeonyeshwa na kikosi cha Simba hususani viungo wao raia wa Zambia, ClatousChama na Rally Bwalya kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam dhidi Dar City umemuibua kocha mkuu, Pablo Franco ambaye ameweka wazi kuwa hawatakata tamaa kuhusu ubingwa wao na watapambana kushinda kila mchezo ulio mbele yao.   Simba Januari 30,…

Read More

FARID MUSSA ANAKUJA ANAKATAA

FARID Mussa,kiungo wa Yanga ni miongoni mwa viungo ambao kuna muda wanakupa kile kilicho bora na muda mwingine anakupa kitu ambacho hujatarajia. Kwa msimu wa 2021/22 hajawa kwenye bora licha ya kupata nafasi katika mechi za Ligi Kuu Bara pamoja na Kombe la Shirikisho. Ndani ya Yanga ametoa pasi moja ya bao na hajaweza kufunga…

Read More

MASTAA WA YANGA WAPIGWA STOP KUTUMIA BURGER NA PIZZA

KATIKA kuhakikisha wachezaji wake wanaepukana na majeraha ya mara kwa mara, Daktari wa Viungo waYanga,MtunisiaYoussefAmmar amewapiga stop mastaa wa timu hiyo kutumia vyakula aina ya Burger na Pizza. Hiyo ni katika kuhakikisha wanapunguza ongezeko la wachezaji wenye majeraha katika kikosi chao hicho ambacho kimepiga kambi hukoAvic Town, Kigamboni nje kidogo ya jiji la Dar es…

Read More

RATIBA YA SIMBA FEBRUARI NI NGUMU KWELIKWELI

WACHEZAJI wa Simba wanaratiba ngumu kwelikweli ndani ya mwezi huu mpya wa Februari katika kusaka matokeo kutokana na ratiba kwao kuwa mwendo wa bandika bandua. Mabingwa hao watetezi wakiwa nafasi ya pili na pointi zao 25 kesho Februari 03 wanakazi ya kuanza kusaka ushindi mbele ya Wajelajela, Tanzania Prisons, Uwanja wa Mkapa. Simba inakumbuka kwamba…

Read More

MASON MAJANGA MATUPU, UNITED WAMUONDOA

NYOTA wa Manchester United Mason Greenwood amekamatwa kwa tuhuma za ubakaji na shambulio kufuatia madai kwenye mitandao ya kijamii. Polisi wa Greater Manchester walisema ilifahamishwa kuhusu “picha na video za mitandao ya kijamii zilizotumwa na mwanamke akiripoti matukio ya unyansaji wa kingono”. Iliongeza “Tunaweza kuthibitisha kuwa mwanamume mwenye umri wa miaka 20 amekamatwa kwa tuhuma…

Read More

SIMON MSUVA ATAJWA KUIBUKIA TP MAZEMBE

UONGOZI wa Klabu ya TP Mazembe, umefunguka kuhitaji kumsajili winga Mtanzania, Simon Msuva anayekipiga Wydad Casablanca ya Morocco, huku ukiweka wazi mipango yao ya kuhitaji kukirudisha kikosi chao katika mafanikio ya kimataifa kunako michuano ya Afrika. Msuva licha ya timu yake ya Wydad Casablanca kuendelea kucheza katika mashindano mbalimbali, lakini winga huyo yupo Tanzania akiendelea kujifua, huku ikielezwa kwa sasa hayupo kwenye maelewano mazuri na mabosi wake hao kutoka Morocco. Bosi mmoja kutoka TP Mazembe…

Read More

DELE ALLI NI MALI YA EVERTON, HATALIPWA HATA 1000

DELE Alli amewashukuru Tottenham kwa maisha yake ya soka aliyokuwa akiishi hapo wakati akiitumikia timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu England. Kwa sasa Everton imekamilisha usajili wa kiungo Alli kwa usajili huru kutokea Tottenham uhamisho ambao unaweza kufikia pauni milioni 40, (sh. Bilioni 123). Hata hivyo fungu la kwanza la Alli atapewa pauni milioni 10 akicheza…

Read More

AVIATOR YA MERIDIANBET: KIBOKO YA MICHEZO BOMBA YA KASINO!

Huhitaji kuwa ‘serious’ sana unapovinjari viunga vya kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Ushindi unaenda sambamba na burudani. Mchezo wa Aviator, ni mchezo rahisi unaokupa nafasi kubwa ya ushindi na kukuhakikishia burudani mwanzo mpaka mwisho.   Mchezo huu ni kama kuwepo mawindoni hivi, unamuwinda mnyama unayempenda sana na hauwezi kulala bila kumpata. Lakini, unafurahia windo lako…

Read More