SIMBA WAAMBULIA POINTI MOJA DAKIKA 180
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba kwa sasa wanapita katika kipindi kigumu kutokana na kuwa kwenye mwendo wa kuchechemea katika vita ya kusaka pointi tatu. Ndani ya Januari kwenye mechi za ugenini wamekwama kusepa na ushindi zaidi ya kuambulia sare moja na kichapo kimoja. Mechi mbili ambazo ni dakika 180 walikuwa kwenye msako wa…