>

NAMUNGO YAWABAMIZA 3-1 COASTAL NYUMBANI

WAGOSI wa Kaya, Coastal Union wamekwama kutamba wakiwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani baada ya kuruhusu kufungwa mabao 3-1 dhidi ya Namungo FC, Mchezo wa leo ulikuwa na ushindani mkubwa ambapo Coastal Union waliweza kupewa adhabu hiyo kutokana na makosa ya safu ya ulinzi ambayo ilikwama kuwa makini. Bao la ufunguzi lilifungwa na Obrey Chirwa ambaye…

Read More

YANGA WAITUNGUA POLISI TANZANIA

DICKSON Ambundo kiungo mshambuliaji wa Yanga leo amefunga bao la 23 ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Ni katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ambapo aliweza kupachika bao hilo dakika ya 64 kwa pasi ya Fiston Mayele mbele ya Polisi Tanzania. Yanga wanasepa na pointi tatu mazima mbele ya Polisi Tanzania…

Read More

POLISI TANZANIA 0-0 YANGA

VINARA wa Ligi Kuu Bara, Yanga leo wana kazi ya kusaka ushindi mbele ya Polisi Tanzania ambao nao pia wanahitaji ushindi. Dakika 45 za kipindi cha awali zimekamilika na ubao wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid unasoma Polisi Tanzania 0-0 Yanga. Ni mchezaji mmoja anayeitwa Khalid Aucho ameonyeshwa kadi ya njano dakika ya 45 baada…

Read More

CHIKO AKABIDHIWA MAJUKUMU YA JESUS MOLOKO ARUSHA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Polisi Tanzania, amempa Chiko Ushindi majukumu ya Jesus Moloko. Chico anatarajiwa kuwa miongoni mwa wachezaji watakaoonekana kwenye kikosi cha Yanga kinachotarajia kucheza mchezo huo utakaopigwa leo Jumapili kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Chanzo kutoka ndani ya Yanga, kimeliambia Spoti…

Read More

KOCHA SIMBA AFUNGUKA “TUNA RATIBA NGUMU”

  PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba, amesema wana ratiba ngumu jambo linalowafanya kutumia nguvu kubwa kusaka ushindi.   Jana Jumamosi, Simba ilitarajiwa kuwa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar uliochezwa Uwanja wa Manungu mkoani Morogoro. Kabla ya mchezo huo, Simba imetoka kupoteza mbele ya Mbeya City kwa kufungwa bao 1-0….

Read More

AZAM FC WAINYOOSHA PRISONS 4G, AJIBU AKIWASHA

TANZANIA Prisons wana kazi ya kujipanga upya baada ya kukubali kunyooshwa mabao 4-0 dhidi ya Azam FC kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Nelson Mandela. Mabao ya Azam yalifungwa na Tepsie Evance dakika ya 27’, Ismail Kada dakika ya 69’, Ibrahim Ajibu  dakika ya 71’ na Charlse Zulu 83. Ajibu aliingia kwenye mchezo huo…

Read More

REKODI ZA KADO MANUNGU NDANI YA DAKIKA 90

KUTOKANA na kitendo chake cha kupoteza muda mwamuzi wa kati Nassoro Mwinchui aliweza kumuonyesha kadi ya njano kipa Shaban Kado. Mbali na kadi hiyo aliweza kutimiza majukumu yake vema akiwa na jezi ya Mtibwa Sugar wakati wakiibana Simba kushindwa kupenya katika ngome za Mtibwa Sugar, Uwanja wa Manungu na alitumia dakika zote 90. Kado alikuwa…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA HII HAPA,YANGA KAZINI

LEO Jumapili, Januari 23,2022 vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wanatarajiwa kuwa na mchezo wa ligi dhidi ya Polisi Tanzania unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Yanga inaongoza ligi ikiwa na pointi 32 inakutana na Polisi Tanzania inayonolewa na Kocha Mkuu Malale Hamsini ikiwa na pointi 18. Mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani…

Read More

KLOPP ANAAMINI MARTINELL ATAKUJA KUWA TISHIO

KOCHA Mkuu wa Liverpool, Jurgen Klopp anaamini kwamba nyota wa Arsenal, Gabriel Martinelli atakuja kuwa tishio baadaye ikiwa ataendelea kuwa kwenye mwendo mzuri. Kocha huyo ameweka wazi kwamba atakuja kufanya vizuri pia ikiwa hatapata majeraha kwa kuwa ikiwa hivyo itakuwa shida kwake kuweza kucheza katika ubora ambao ameanza nao. Raia huyo wa Brazil ameanza vema…

Read More