>

SIMBA YAFUZU HATUA YA MAKUNDI, DILUNGA ATUPIA

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franc leo Desemba 5 kimefanikiwa kuandika historia mpya kwenye Kombe la Shirikisho baada ya kuweza kufuzu hatua ya makundi. Kwenye mchezo wa leo uliochezwa Uwanja wa Heroes,Zambia dakika 90 zimekamilika kwa ubao kusoma Red Arrows 2-1 Simba ambapo bao la Simba lilipachikwa na kiungo mzawa Hassan Dilunga….

Read More

MTIBWA SUGAR WANAHITAJI MAOMBI

UONGOZI wa Mtibwa Sugar umeweka wazi kuwa kwa sasa unahitaji maombi ya Watanzania ili waweze kurejea kwenye ubora wakiwa uwanjani. Kwenye msimamo Mtibwa Sugar ikiwa imecheza jumla ya mechi saba imekusanya pointi mbili pekee jambo ambalo linawapa tabu mashabiki na mabosi wa timu hiyo. Haijaambulia ladha ya ushindi mpaka wakati huu ambapo ipo nafasi ya…

Read More

MAKAMBO APIGA HESABU HIZI KUELEKEA DESEMBA 11

  HERITIER Makambo, mshambuliaji wa Yanga ameweka wazi kuwa ikiwa atapata nafasi ya kuanza kwenye mchezo wa Kariakoo, Dabi Desemba 11 mbele ya Simba atapambana kwa kushirikiana na wachezaji wenzake ili kupata ushindi. Hesabu hizo ndefu za Makambo zinakuja ikiwa zimebaki siku tano kabla ya mchezo huo kuchezwa Uwanja wa Mkapa ambapo Yanga imekuwa kwenye…

Read More

LIVERPOOL ETI BILA ORIGI HAKUNA MPIRA

BAADA ya kupachika bao la ushindi katika mchezo wa Ligi Kuu England dakika za lala salama, Divock Origi, mabosi wa timu hiyo wameweka wazi kuwa mpira bila nyota huyo bado haujakamilika. Orogi alipachika bao hilo dakika ya 90+4 mbele ya Wolves akitumia pasi ya mshambuliaji Mohamed Salah raia wa Misri akiwa ndani ya 18 kwa…

Read More

PABLO AGOMEA KUPANGIWA KIKOSI

KATIKA kuelekea Kariakoo Dabi, Kocha Mkuu wa Simba, Mhispania, Franco Pablo, ameuambia uongozi wa timu hiyo kuwa hatampanga mchezaji kwa kuangalia historia pekee. Dabi hiyo itakayowakutanisha Simba dhidi ya Yanga, inatarajiwa kupigwa Desemba 11, mwaka huu kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam. Pablo alijiunga na timu hiyo hivi karibuni akichukua nafasi ya Mfaransa, Didier Gomes.Taarifa…

Read More