IVERPOOL YAANZA LIGI KWA NAMNA YA TOFAUTI

Ligi mbalimbali barani ulaya zimerejea kwa kishindo na klabu ambayo imeonekana kuanza msimu kibabe tofauti na ilivyotarajiwa ni klabu ya Liverpool, Ambapo klabu hiyo mpaka sasa imefanikiwa kushinda michezo yake mitatu mpaka sasa.    Liverpool haikudhaniwa kuanza msimu vizuri kwani waliondokewa na kocha wa Jurgen Klopp wengi wakiamini inaweza kuwachukua muda kujipata, Lakini imekua tofauti…

Read More

SIMBA YAKIRI WAPINZANI WAO KIMATAIFA SIO WANYONGE

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wapinzani wao kwenye Kombe la Shirikisho Afrika sio wanyonge hivyo watawakabili kwa tahadhari kupata matokeo chanya kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Septemba 15 2024 nchini Libya. Tayari msafara wa Simba umeanza safari kuwafuata wapinzani wao ambapo Septemba 11 mapema kikosi kilikwea pipa kutoka Bongo na kuweka kambi Uturuki na mapema…

Read More

WACHEZAJI STARS WAPEWA PONGEZI USHINDI AFCON

BENCHI la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars limeweka wazi kuwa pongezi kubwa kwa ushindi wa mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2025 mbele ya Guinea wanastahili wachezaji kwa kuwa walicheza kwa kujituma na kufuata malekezo. Ni Septemba 10 2024 Stars ikiwa ugenini ilikomba pointi tatu mazima mbele ya Guinea wakipindua meza kibabe…

Read More

TAIFA STARS KUIKABILI GUINEA

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo Septemba 10inakibarua kingine cha kusaka pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2025. Mchezo wa leo itakuwa dhidi ya Guinea huu ni mchezo muhimu utakaoiweka Stars kwenye nafasi nzuri ya kusaka tiketi ya kufuzu kushiriki michuano ya AFCON 2025 baada ya mchezo uliopita wakiwa Uwanja…

Read More

MASTAA SIMBA NDANI YA MAISHA MAPYA YANGA

MAISHA ya mpira yana kupanda na kushuka ambapo kila mchezaji uwanjani amekuwa na kazi kubwa kuonyesha uwezo wake ndani ya dakika 90 na wapo ambao wamekuwa wakiongezewadili jipya na wengine kukutana na Thank You. Msimu wa 2023/24 ipo wazi kwamba Yanga ni mabingwa wa ligi chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi na sasa wanakibaua kingine…

Read More

HUYU HAPA MWAMBA MWENYE REKODI YAKE JANGWANI

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Maxi Nzengeli anashikilia rekodi ya kuwa mfungaji wa bao la kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2024/25 akiwa na uzi wa Yanga. Bao hilo alifunga katika mchezo wa ligi dhidi ya Kagera Sugar uliochezwa Uwanja wa Kaitaba ilikuwa ni Agosti 29 2024 mabingwa hao watetezi walicheza mchezo wa kwanza…

Read More

PATASHIKA HII HAPA BONGO, KITAWAKA

PATASHIKA Bongo haijawahi kupoa kutokana na kila timu kuwa kazini kusaka pointi tatu muhimu ndani ya uwanja katika dakika 90 za kazi. Ni Mzizima Dabi mchezo utakaowakutanisha wapinzani wawili Azam FC na vinara wa ligi kwa sasa msimu mpya wa 2024/25 Simba. Ikumbukwe kwamba Azam FC, Septemba 7 ilimtangaza Rachid Taoussi raia wa Morocco kuwa…

Read More

MSUVA: TAIFA STARS NI YA KILA MMOJA

NYOTA wa timu ya taifa ya Tanzania, Simon Msuva ameweka wazi kuwa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ni ya kila mmoja hivyo anayepewa nafasi ya kuitwa ana nafasi ya kupeperusha vema bendera ya Tanzania. Msuva hayupo kwenye orodha ya wachezaji waliochaguliwa kuunda kikosi cha Stars kwa ajili ya kuwania kufuzu AFCON 2025 Morocco…

Read More

UEFA NATIONS LEAGUE INAENDELEA TENA LEO

Ligi mbalimbali barani ulaya ni kweli zimesimama lakini hiyo sio sababu ya wewe kushindwa kushinda mkwanja, Kwnai michuano ya Uefa Nations League inaendelea na michezo mikali inapigwa karibu kila siku.   Michuano hii inaweza kukupa mkwanja na wikiendi ikachangamka kwasababu palwe kwenye tovuti ya Meridianbet michezo yake imepewa Odds bomba sana, Hivo ni fursa kwako…

Read More

CHUKUA MAOKOTO YA KUTOSHA KUPITIA MERIDIANBET LEO

Ukisikia ile siku ya wewe kujinyakulia maokoto ya kutosha basi ni leo Jumamosi ambapo itapigwa michezo mbalimbali mikali barani ulaya, Huku fursa ikibaki kwako wewe kuweka jamvi lako na kusubiria kitita.   Uefa Nations League imekuja na hatari yake kwani Meridianbet wamemwaga Odds za kutosha isivyo kawaida katika michezo ambayo inakwenda kupigwa leo, Hivo ni…

Read More

KARIAKOO DABI INAFUKUTA HUKO NA MZIZIMA DABI

MSIMU wa 2024/25 ushindani wake unatarajiwa kuwa mkubwa kutokana na kila timu kujipanga kupata matokeo chanya kwenye mechi za ushindani ambapo kwa sasa ligi imesimama kwa muda kutokana na ratiba ya FIFA. Wakati yote yakiendelea kuna fukuto ambalo lipo ikiwa ni kuelekea mechi kubwa Kariakoo Dabi na Mzizima Dabi ambazo zinatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa…

Read More

MKONGWE ASIYE NA SHAKA JIDE AHESHIMISHWA

SUGU amesema kuwa kuelekea kwenye Bongo Flava Honors ni zamu ya Jide kupanda jukwaani akiwa ni mkongwe wa kwanza wa kike kuheshimishwa kwenye jukwaa hilo Oktoba 25 2024 Ukumbi wa Warehouse, Masaki, Dar ambapo amesema kuwa ni msanii mkubwa sana sio Tanzania bali Afrika na Dunia kutokana na heshima aliyonayo anaamini watapiga nyimbo nyingi na…

Read More