HII HAPA RATIBA YA LIGI KUU BARA

LIGI Kuu Tanzania Bara  inazidi kushika kasi ikiwa ni mzunguko wa pili ambapo timu zinaendelea kupambania pointi tatu. Ipo wazi kwamba vinara wa Ligi Kuu Bara Yanga ilisepa na pointi tatu kwenye mchezo wake Mei 5 2024 ubao uliposoma Mashujaa 0-1 Yanga bao likifungwa na Joseph Guede dakika ya 41 sasa inafikisha pointi 65. Mei…

Read More

VIDEO:KOCHA SIMBA:AZAM FC INA WACHEZAJI WAZURI

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa Azam FC ni moja ya timu imara na ina wachezaji wazuri hivyo kuelekea kwenye mchezo wao wa kesho Januari Mosi 2022 wanatarajia kupata upinzani mkubwa. Aidha Pablo amebainisha kwamba ambacho wanahitaji kwenye mchezo huo ni ushindi kwa kuwa maandalizi yameanza kwa muda mrefu na wachezaji wanatambua kwamba…

Read More

YANGA YAITUNGUA AZAM KWA MKAPA

DAKIKA 90, zimemalizika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa huku Yanga wakiibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa NBC Ligi Kuu Bara.   Bao la kwanza la Yanga limefungwa na mshambuliaji Fiston Mayele dakika ya 36 kwa assist ya Shomari Kibwana, ya mchezo baada ya makosa ya mabeki wa Azam…

Read More

SIKU ZINAHESABIKA KUNYAKUA MILIONI TASLIMU YA SHINDANO LA EXPANSE KASINO

Siku za mkwanja wa milioni moja kutoka kupitia shindano la Expanse Kasino  zinahesabika, Kwani shindano la Expanse limebakiza siku tatu mshindi wa kitita cha milioni apatikane. Meridianbet kwa mara nyingine tena wanakuletea shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha milioni moja taslimu, Shindano hili la mabingwa…

Read More

US MONASTIR 2-0 YANGA KIMATAIFA

DAKIKA 45 za mwanzo zimemeguka ambapo ubao unasoma US Monastir 2-0 Yanga wawakilishi kutoka Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika. Ni Mohamed Saghroui dakika ya 10 na Boubacar Traore ilikuwa dakika ya 15. Djigui Diarra anatimiza majukumu yake akiwa ameokoa hatari moja iliyokuwa ni nafasi ya wazi kwa wapinzani wao kufunga ilikuwa dakika ya 12….

Read More

MAYELE, MUSONDA WAPEWA MAAGIZO MAALUM YANGA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema washambuliaji wake ikiwa ni Fiston Mayele na Kennedy Musonda wanapaswa kuongeza umakini kwenye kutumia nafasi wanazopata ili kufunga mabao mengi. Yanga ni vinara wa Ligi Kuu Bara msimu huu, kibindoni wana pointi 68 baada ya kucheza mechi 26, tofauti ya pointi tano na watani zao wa jadi Simba…

Read More

YANGA KAZINI NEW AMAAN COMPLEX KIMATAIFA

BAADA ya mchezo wa Septemba 14 2024 ubao kusoma CBE SA 0-1 Yanga dakika 90 za kazi zinatarajiwa kuchezwa Jumamosi katika ardhi ya Tanzania. Chini ya MiguelGamondi ambaye ni kocha mkuu wa Yanga katika dakika 90 za ugenini bao la ushindi lilipachikwa na mshambuliaji Prince Dube dakika ya 45. Gamondi ameweka wazi kuwa kuanza kwa…

Read More

AWESU AWESU ATUMA UJUMBE HUU KWA MABOSI KMC

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Awesu Awesu amebainisha kuwa mzunguko wa pili ikiwa atawafunga mabosi wake wa zamani KMC atashangilia bao hilo kwa kuwa bao la kwanza hakushangilia. Nyota huyo kwenye mchezo wa kwanza kukutana na mabosi zake KMC kwenye ligi ilikuwa ni Novemba 6 2024 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 4-0 KMC ambapo…

Read More