AFCON 2023:TANZANIA 0-0 UGANDA

UWAJA wa Mkapa mchezo wa kuwania kufuzu Afcon 2023 Ivory Coast ngoma bado ni nzito kwa pande zote. Ubao unasoma Tanzania 0-0 Uganda ambapo kila timu inafanya mashambulizi kwa wapinzani kupata ushindi. Tanzania inamtumia Simon Msuva, Mbwana Samatta pamoja na Sopu kwenye upande wa ushambuliaji huku Uganda wakiwa na Emmanuel Okwi na Khalid Lwaliwa ambao…

Read More

CHAMA AWAPA THANK YOU SIMBA KUPITIA UKURASA WAKE WA INSTA!

Kiungo mpya wa ‘Wananchi’ Yanga SC, Mwamba wa Lusaka Clatous Chota Chama kawaaga rasmi ‘Wekundu wa Msimbazi’ Simba SC, kupitia ukurasa wake wa kijamii wa Instagram. Chama kaandika hivi: “Miaka sita iliyopita nilikuja kama mgeni. Mlinipa malengo na changamoto za kuwa bora zaidi. Sina la ziada zaidi ya heshima kwa kila mmoja wenu kwa upendo…

Read More

ARSENAL YAIBAMIZA LIVERPOOL BAO 3-1

Majogoo wamedhalilika ugenini dhidi ya Washika Mitutu kufuatia kipigo cha 3-1 katika dimba la Emirates. FT: Arsenal 3-1 Liverpool 14’— Saka ⚽ 67’— Martinelli ⚽ 45+3’— Magalhães (og) ⚽ 88’ Konate ? 90+2’ — Trossard ⚽ Arsenal imesogea mpaka alama mbili nyuma ya kinara Liverpool kwenye msimamo wa Ligi Kuu England alama 49 baada ya…

Read More

HT: TRA United 0-0 Yanga SC

HT: TRA United 0-0 Yanga SC Uwanja wa Sheikh Amri Abeid dakika 45 zimekamilika ubao ukisoma TRA United 0-0 Yanga SC TRA United Yanga SC 2 Mashuti 3 0 Lenga lango 0 34% Umiliki 66% 2 Mashuti yasiyolenga lango 3 0 Kadi nyekundu 0 0 Kadi ya njano 0 0 Kona 1 0 Magoli 0…

Read More

MJUE BINGWA WA BETI WA MILIONI 2 KWA MERIDIANBET USSD!

Wikiendi hii Meridianbet imeshuhudia bingwa mwingine wa ubashiri kwa USSD, ambaye amejikusanyia kitita cha shilingi milioni mbili kwenye ubashiri wake. Ungependa kufahamu zaidi juu ya ubashiri wake? soma hapa! Mteja wetu makini wa USSD, ambaye alibashiri bila intaneti kwa kupiga *149*10# alikuwa makini kujua historia za timu zinazocheza na kujiachia na machaguo mengi yaliyopo Meridianbet…

Read More

HUYU HAPA KOCHA MPYA WOLVES

WOLVERHAMPTON Wanderers imemtambulisha rasmi Julen Lopetegui raia wa Hispania na aliyewahi kuwa Kocha mkuu wa Klabu ya Real Madrid pamoja na Sevilla kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo. Lopetegui hivi karibuni ametimuliwa kazi kutoka Klabu ya Sevilla anaanza kuwa kwenye majukumu yake mapya kwenye timu hiyo. Lopetegui anachukua mikoba ya Bruno Lage ambaye alitimuliwa klabuni…

Read More

DTB YAPANIA KUZIPIKU SIMBA, YANGA

KUFUATIA mwenendo mzuri wa usajili waunaofanywaDTB, mwenyekiti wa klabu hiyo, Ibrahim Mirambo amejigambakuwa, wamepania zaidi kuhakikisha wanamsajilimchezaji yeyote hata awe chaguo la Simba au Yanga. DTB ndiyo vinara wa Championship ambapo hadi sasa wanaongoza msimamo wa ligi hiyo wakiwa na pointi 36,walizozivuna kwenye michezo 14. Akizungumza na Spoti Xtra, Mirambo ameweka wazi kuwa:“Bado tunafanya usajili,…

Read More

SIMBA YAICHAPA TATU DODOMA JIJI NA KUSEPA NA POINTI TATU

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema ushindi ambao wameupata kwenye mchezo dhidi ya Dodoma Jiji umetokana na kazi kubwa ya wachezaji wakeo uwanjani. Baada ya dakika 90, ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 3-0 Dodoma Jiji na kuifanya timu hiyo kufikisha pointi 13 na kuongoza ligi. Bao la ufunguzi lilifungwa na Abdallah Shaibu,’Ninja’…

Read More

MKATABA WA GSM NA TFF UNACHUNGUZWA

TUME ya Ushindani wa Biashara (FCC) imesema imepokea malalamiko kutoka kwa wadau wa mpira wakiitaka kuchunguza udhamini uliofanywa na kampuni ya GSM kwa Ligi Kuu ya NBC kama hautaathiri ushindani wa soka nchini.   Wadau hao wamewasilisha malalamiko yao kwa maandishi ndani ya tume hiyo Jumatatu ya Novemba 29, 2021 wiki hii kwa mujibu wa…

Read More

SIMBA YASEPA NA POINTI TATU KIMATAIFA

HATIMAYE kikosi cha Simba kimeibuka na ushindi kwenye mchezo wake wa kwanza hatua ya makundi ikiwa ugenini. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa St Mary’s umesoma Vipers 0-1 Simba na kuwafanya wasepena pointi tatu mazima. Mtupiaji wa bao la ushindi ni Henock Inonga ambaye aliwapa furaha wachezaji wenzaki ikiwa ni pamoja na Kibu…

Read More

SIMBA KAMILI KUIKABILI NAMUNGO

JUMA Mgunda, kocha msaidizi wa Simba amesema maandalizi yote kwa ajili ya mchezo mgumu dhidi ya Namungo yamekamilika. Simba inatarajiwa kumenyana na Namungo kwenye mchezo wa mzunguko wa pili Uwanja wa Majaliwa saa 1:00 usiku. Ikumbukwe kwamba mchezo uliopita kwa Namungo walipata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City na kwa upande wa Simba…

Read More

MTAMBO WA MABAO HUU HAPA KURITHI MIKOBA YA MAYELE

KUTOKA Ghana Hafiz Konkoni  mwenye umri wa miaka 23 alikuwa anakipiga Club ya Bechem United ya Ghana amesaini dili jipya Yanga. Hafiz msimu wa 2022/23 rekodi zinaonyesha kuwa kwenye Ligi Kuu nchini Ghana aligotea nafasi ya pili kwa wanaowania Tuzo ya Mfungaji bora kwa kufunga mabao 15 na pasi tatu za mabao. Nyota huyo alipata…

Read More