MASHABIKI MNASTAHILI PONGEZI

MASHABIKI mnastahili pongezi kwa namna ambavyo mmekuwa bega kwa bega na wawakilishi wa Tanzania kwenye anga za kimataifa. Tunaona kwenye kila hatua mmekuwa pamoja na timu pale zinapofanya vizuri mnafurahi pamoja na pale zinaboporonga mnatoa ushauri kwa viongozi. Kuna mengi ya kujifunza kwa mechi za kimataifa ikiwa hata namna ya ushangiliaji pamoja na kutokata tamaa…

Read More

Cheza Expanse Kasino na Upige Mamilioni

Safiria ndoto ya maisha yako kwa kucheza kasino ya mtandaoni, pale Meridianbet kuna promosheni ya Expanse ambayo inatoa mamilioni kwa washindi. Jisajili sasa upate bonasi ya ukaribisho ya Tsh 3,000,000/=   Kupitia shindano la Mamilioni la Expanse, unaweza kujishindia hadi Tsh 4,750,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna michezo mingi ya kasino na Sloti ambayo…

Read More

ROBERTINHO APATA DAWA YA RAJA CASABLANCA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazil, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo, kwa kuwaambia kuwa hataingia kivingine kimbinu watakapovaana dhidi ya Raja Casablanca ya nchini Morocco. Hiyo ni baada ya kuanza vibaya hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika wakiwa ugenini dhidi ya Horoya AC ya nchini Guinea wakifungwa bao 1-0. Jumamosi…

Read More

AZAM FC WANAZITAKA POINTI TATU ZA KMC

HASHEEM Ibwe, Ofisa Habari wa muda ndani ya Azam FC ameweka wazi kuwa wanawaheshimu wapinzani wao KMC lakini pointi zao tatu wanazitaka jambo linalowafanya wajiandae vizuri. Ibwe amepewa majukumu kwa muda akichukua mikoba ya Zakaria Thabit ambaye amefungiwa kutojihusisha na masuala ya soka kwa muda wa miezi mitatu na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa…

Read More

SALAH AWAONYA REAL MADRID, ATAKA KULIPIZA KISASI FAINALI UEFA

MADRID, Hispania STRAIKA wa Real Madrid, Mohamed Salah, ameshuhudia Real Madrid ikiichapa Manchester City na kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa, akafurahi na kusema: “Hawa ndio nawataka nijilipizie kisasi.” Salah amesema anawasubiri kwa hamu Real Madrid Mei 28 jijini Paris akitaka kulipiza walivyomuumiza moyo miaka minne iliyopita, alipogongwa na Sergio Ramos akaumizwa mkono, kisha Liverpool…

Read More

DJUMA SHABAN, BANGALA ISHU YA KUSEPA YANGA IPO HIVI

DJUMA Shaban na Yannic Bangala wanatajwa kuomba kuondoka ndani ya kikosi cha Yanga. Habari zinaeleza kuwa kuondoka kwa Nasreddine Nabi ndani ya Yanga kwenye benchi la ufundi kunawafanya mastaa wengine kufikiria kuondoka pia. Ipo wazi kuwa Bangala mkataba wake bado unaishi ndani ya Yanga kama ilivyo kwa Djuma mpaka 2024 lakini wanahitaji kuondoka. Djuma ameomba…

Read More

SIMBA YAWEKEZA NGUVU KIMATAIFA,KUHUSU YANGA BADO

UONGOZI wa Simba SC, umesema hivi sasa nguvu zao wamezielekeza katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Orlando Pirates, na siyo kwa Yanga SC. Simba hivi sasa wapo kambini wakijiandaa kupambana na Orlando, mchezo wa kwanza utachezwa Jumapili hii kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, kisha marudiano Aprili 24, Afrika Kusini….

Read More

KLOPP ANAAMINI NI MAPUMZIKO WAKIONGOZA 2-0

JURGEN Klopp,Kocha Mkuu wa Liverpool alikuwa shuhuda wa vijana wake wakiitungua mabao 2-0 Villarreal katika mchezo wa Nusu Fainali ya kwanza ya UEFA Champions League. Mbele ya mashabiki 51,586 katika Uwanja wa Anfield kipindi cha kwanza mambo yalikuwa ni magumu kwa timu zote mbili kwa kuwa halikupatikana bao. Ni Pervis Estupinan Tenorio alijifunga dk 53…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE NA SABABU ZA KUUZA WACHEZAJI

UONGOZI wa Singida Fountain Gate umeweka wazi kuwa sababu kubwa ya kufanya biashara ya kuwauza wachezaji wao waliokuwa na uhakika wa namba kikosi cha kwanza ni kupata fedha za kulipa madeni. Timu hiyo ipo ndani ya tano bora na imekuwa ikileta ushindani mkubwa kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara kutokana na mipango makini kwenye kusaka…

Read More

MZIZE BADO ANA MKATABA NA YANGA SC

MSHAMBULIAJI namba moja kwa wazawa wenye mabao mengi msimu wa 2024/25 Clement Mzize bado ana mkataba na Yanga SC kuelekea msimu wa 2025/26. Mzize amekuwa akitajwa kuwa katika rada za timu mbalimbali ambapo kuna timu moja kutoka Tunisia inatajwa kuweka dau kubwa mezani kupata saini yake kwa ajili ya changamoto mpya. Rekodi zinaonyesha kuwa msimu…

Read More

Anza Wikendi Yako na Meridianbet Leo

Je unaanzaje wikendi yako?. Kama hujui ni rahisi sana unachotakiw akufanya ni kuingia meridianbet sasa na kusuka jamvi lako la maana kabisa ambalo unajua kuwa lazima utoboe. BUNDESLIGA itarindima leo ambapo RB Leipzig baada ya kushinda mechi yake iliyopita, leo hii atakuwa ugenini kusaka pointi tatu dhidi ya TSG Hoffenheim. Mwenyeji ametoka kupoteza mchezo wake…

Read More