CHEKI RATIBA YA LIGI LEO

LIGI Kuu Tanzania Bara leo Aprili 13 2024 inaendelea kwa timu kusaka pointi tatu ndani ya uwanja baada ya dakika 90. Wababe Geita Gold watakuwa nyumbani Uwanja wa Nyankumbu kusaka pointi dhidi ya Mtibwa Sugar ambao nao wanazihitaji pia pointi tatu. Ihefu watawakaribisha Simba, Uwanja wa Liti kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Tabora United…

Read More

YANGA YAFUNGIWA NA FIFA KUFANYA USAJILI

SHIRIKISHO la Soka Tanzania, (TFF) limetoa taarifa kuwa Yanga imefungiwa kufanya usajili kwa kukiuka kanuni za Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu, (FIFA). Taarifa hiyo imeeleza kuwa uamuzi huo umefanywa na FIFA baada ya timu hiyo kukiuka Annexe 3 ya kanuni ya Uhamisho wa Wachezaji, (RSTP) ya Shirikisho hilo. Pamoja na masuala mengine Yanga…

Read More

BOSI SIMBA: MATOKEO YANAUMIZA KWELIKWELI

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa matokeo ambayo wanayapata yanaumiza kwelikweli kwa kuwa ni mabaya ndani ya muda mfupi. Ipo wazi kwamba Aprili 6 2024 kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali baada ya dakika 90 ubao ulisoma Al Ahly 2-0 Simba. Kwenye mechi mbili za kimataifa Simba imefungwa mabao matatu huku…

Read More

SPORTPESA DABI MLANGONI, RATIBA HII HAPA

KAZI bado inaendelea ndani ya uwanja kwa kila timu kusaka pointi tatu baada ya dakika 90. Ligi Kuu Tanzania Bara ikiwa ni mzunguko wa pili unaendelea kwa kila timu kupambania kufikia malengo ya kupata pointi tatu. Ijumaa ya Aprili 12 kuna mechi ambazo zinatarajiwa kuchezwa ni Tanzania Prisons v KMC huu unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa…

Read More

SIMBA: TUMEUMIZWA VIBAYA MNO

UONGOZI wa Simba umebainisha kwamba umeumizwa vibaya kukwama kupata matokeo kwenye mchezo dhidi ya Mashujaa uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika. Ilikuwa ni kwenye CRDB Federation raundi ya nne ambapo baada ya dakika 90 ubao ulisoma Mashujaa 1-1 Simba na kwenye penalti ilikuwa Mashujaa 6-5 Simba. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba…

Read More

YANGA HAO ROBO FAINALI

MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup Yanga wamekata tiketi kutinga hatua ya robo fainali kwa ushindi wakiwa ugenini. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma umesoma Dodoma Jiji 0-2 Yanga. Bao la mapema dakika ya tatu kupitia kwa Emmanuel Martin ambaye alijifunga dakika ya 3 na Clement Mzize dakika ya 66 alipachika…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA DODOMA JIJI

MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup, Yanga wanatupa kete yao dhidi ya Dodoma Jiji, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Hiki hapa kikosi cha Yanga kinachotarajiwa kuanza namna hii:- Djigui Diarra Fred Nondo Bacca Maxi Kibabage Sure Boy Mudathir Yahya Mzize Aziz KI Okra Hawa hapa wachezaji wa akiba wa Yanga Mshery, Kibwana, Farid, Aucho, Mkude, Shekhan,…

Read More

MIAMBA HAWA KATIKA RADA ZA SIMBA

KWA nyakati tofauti miamba wawili eneo la ushambuliaji Adam Adam na Relliat Lusajo walikuwa katika rada za Simba lakini mipango ikagoma. Adam aliibukia ndani ya Mashujaa na Lusajo alibaki Namungu kisha dirisha dogo ni mali ya Mashujaa. Ikumbukwe kwamba Lusajo alipokuwa Namungo aliwahi kuwatungua Simba mzunguko wa kwanza katika Ligi Kuu Bara Uwanja wa Uhuru…

Read More

LIGI YA MABINGWA ULAYA MOTO UTAWAKA LEO

Kivumbi cha ligi ya mabingwa ulaya kitaendelea leo ambapo itapigwa michezo miwili mikali kwenye michuano hiyo itakayokutanisha vilabu ambavyo vimekua na uzoefu wa michuano hiyo. Klabu ya Atletico Madrid wao watakua wenyeji kuwakaribisha Borussia Dortmund kutoka kule nchini Ujerumani, Huku Paris Saint German wao watakua nyumbani kupambana na mabingwa mara tano wa michuano hiyo klabu…

Read More

SIMBA YAWAFUATA IHEFU SINGIDA

BAADA ya kukamilisha kete kwenye CRDB Federation dhidi ya Mashujaa ya Kigoma, Aprili 10 msafara wa kikosi cha Simba umeanza kuelekea Singida. Ipo wazi kwamba Aprili 9 2024 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika ulisoma Mashujaa 1-1 Simba katika raundi ya nne na kupelekea mshindi kupatikana kwe penalti. Mashujaa 6-5 Simba…

Read More