MORRISON,MKUDE,KUIKOSA KAGERA SUGAR
VIUNGO wa Simba wanne leo wanatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara Uwanja wa Mkapa mbele ya Kagera Sugar. Mchezo wa leo ni wa mzunguko wa pili baada ya ule wa mzunguko wa kwanza Kagera Sugar kuwatungua bao 1-0 Simba, Uwanja wa Kaitaba. Pablo Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kuna wachezaji ambao wakosekana…