
HAPA NDIPO SIMBA WALIPOFELI KWA MARA NYINGINE TENA
KUGOTEA hatua ya robo fainali kwa Simba msimu wa 2023/24 ni kufeli kwa mara nyingine tena kwa kuwa hawajajifunza wakati wote walipofika hatua ya robo fainali. Wakati wote nilikuwa nikibainisha kuwa haina maana kwamba Simba huwa wanakuwa hawana nafasi hapana wanashindwa namna ya kumaliza kazi nyumbani. Kufeli kwa Simba dhidi ya Al Ahly hesabu ziliharibikia…