SABABU ZA MATOLA KUCHELEWA KUSOMA

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa sababu kubwa ya yeye kuchelewa kusoma kozi ya ukocha Leseni A ya CAF anayoisomea kwa sasa ni upatikanaji wa nafasi hizo. Matola kwa sasa yupo masomoni akiendeleza ujuzi wake wa masuala ya ufundishaji ambapo gharama za malipo zinasimamiwa na waajiri wake Simba. Kocha huyo amesema:”Hizi kozi huwa…

Read More

TABORA UNITED YAAMBULIA 4G KUTOKA KWA SIMBA

WENYEJI Tabora United wakiwa Uwanja wa  Ali Hassan Mwinyi wamekubali kupoteza pointi tatu mbele ya wapinzani wao Simba ndani ya dakika 90 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao ulikuwa ni kiporo. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Tabora United 0-4 Simba wakikomba pointi tatu ugenini. Mabao ya Simba yamefungwa na Pa Omary Jobe dakika…

Read More

NABI ANAAMINI KAZI HAIJAISHA KIMATAIFA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema bado kazi ipo kwenye mchezo wao ujao wa kimataifa dhidi ya Zalan FC. Jana, Septemba 10, ubao wa Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 ulisoma Zalan 0-4 Yanga huku wafungaji wakiwa ni Fiston Mayele aliyetupia mabao matatu na mzawa Feisal Salum aliyefunga bao moja. Ushindi huo ulipatikana…

Read More

NYOTA YANGA MWIBA MKALI, KAZI KIMATAIFA INAENDELEA

KIUNGO wa Yanga Pacome Zouzoua amekuwa ni mwiba mkali kwa wapinzani kutokana na uwezo wake anaoonyesha ndani ya uwanja katika mechi za kimataifa. Ikumbukwe kwamba Desemba 8 Yanga iligawana pointi mojamoja na Klabu ya Medeama kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi ambapo bao la Yanga lilifungwa na kiungo Pacome. Hilo linakuwa…

Read More

SIMBA YATOA ZAWADI YA CHRISTMAS MAPEMA

SIMBA imeibuka na ushindi wa bao 1-0 JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wq KMC, Complex. Ni zawadi ya Christmas mapema leo Desemba 24 ambapo Wakristo duniani watakuwa kwenye ibada ya Usiku Mtakatifu na Christmas itakuwa Desemba 25, siku ya kufungua zawadi ni Desemba 26. Bao la ushindi limefungwa na Jean…

Read More

MAAJABU YA WILD 27 KASINO YA MTANDAONI

 Kama unapenda sloti za matunda, basi chaguo lako limepata kiburudisho chenye hisia kali kiasi kwamba huwezi kusubiri kupoteza hata dakika moja bila kucheza kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Wild 27 ni sloti kutoka kasino ya mtandaoni iliyoandaliwa na mtayarishaji wa michezo ya kasino Fazi . Kwenye mchezo huu wa sloti, kwa msaada wa matunda matamu,…

Read More

MAYELE APISHANA NA TUZO, PERCY AIBEBA

KWENYE usiku wa tuzo Tuzo Desemba 11 mchezaji bora wa mwaka kutoka kwenye mashindano ya vilabu ambaye kasepa na tuzo hiyo ni Percy Tau wa Al Ahly. Nyota huyo amewashinda wachezaji wenzake ambao alikuwa nao kwenye fainali ambao ni Peter Shalulile wa Mamelodi na Fiston Mayele  ambaye yupo ndani ya Pyramids akitokea Yanga. Tuzo ya…

Read More

AZAM FC WANA IMANI KUBWA KINOMANOMA

HASHEEM Ibwe, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa maandalizi ambayo yanafanyika kuelekea msimu ujao yanawapa nguvu ya kuamini kwamba watafanya vizuri kwenye mashindano ambayo watashiriki. Azam FC inanolewa na Kocha Mkuu,Yusuph Dabo imeweka kambi Morocco kuelekea msimu mpya unaotarajiwa kuanza Agosti 16 2024 na ratiba ya Ngao ya Jamii tayari imeshatoka. Ngao ya Jamii…

Read More

KOCHA WA SIMBA KUIBUKIA KWA MKAPA

PABLO Franco, raia wa Hispania leo Novemba 11,2021 anatarajiwa kuwa miongoni mwa watakaoshuhudia mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania dhidi ya DR Congo.   Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa saa 10:00 jiono huku timu zote mbili hesabu kubwa ikiwa ni katika kupata ushindi ili kuweza…

Read More

KOCHA MANCHESTER UNITED UZOEFU TATIZO

MKONGWE wa Manchester United, Paul Scholes ameweka wazi kuwa Michael Carrick hatakiwi kuwa kocha wa moja kwa moja ndani ya kikosi hicho kwa wakati huu kwa kuwa hana uzoefu. Carrick anaiongoza Manchester United kwa muda mara baad ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo Ole Gunnar Solkjaer kuchimbishwa kikosini hapo kutokana na mwendo mbovu wa tim…

Read More

YANGA KAZINI TENA LEO AMAAN

MABINGWA watetezi wa Kombe la Mapinduzi, Yanga leo wanakazi ya kusaka ushindi mbele ya KMKM mchezo unaotarajiwa kuchezwa saa 10:15 jioni. Ni Uwanja wa Amaan mchezo huo unatarajiwa kuchezwa mbele ya mashabiki wa timu hiyo ambao wamekuwa wakijitokeza kwa wingi kushuhudia burudani. Mchezo wa kwanza wa Yanga ilikuwa mbele ya Taifa Jang’ombe na iliweza kuibuka…

Read More