Home Sports WAFAHAMU WAPINZANI WA YANGA KIMATAIFA

WAFAHAMU WAPINZANI WA YANGA KIMATAIFA

KWENYE anga la kimataifa Yanga itashiriki Kombe la Shirikisho baada ya kukwama kutinga hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Ifahamu Club Africains kutoka Tunisia ambao ni wapinzani wa Yanga katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika

Previous articleHAWA HAPA MASTAA WA SIMBA WAANDALIWA KUIKABILI YANGA
Next articleBEKI WA KAZI SIMBA AREJEA, TAYARI KWA YANGA