MALENGO YA SIMBA KIMATAIFA YAPO HIVI

UONGOZI wa Simba umesema kuwa malengo makubwa kuelekea kwenye mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca ni kupata ushindi. Ni Februari 18,2023 Simba ina kazi nzito ya kusaka ushindi dhidi ya vigogo Raja ambao wanaongoza kundi C wakiwa wametoka kuwatungua Vipers mabao 5-0. Leo Februari 15,2023 Simba imefanya uzinduzi wa kampeni…

Read More

WAWILI WASHINDA MAMILIONI YA BETBONANZA

JUMLA ya washindi Wawili kutoka Vodacom na Airtel leo Jumanne asubuhi wameibuka washindi wa vitita vya Shilingi Milioni Moja kila mmoja katika droo ya kwanza ya wiki ya Bet Bonanza ya Sportpesa huku akiwataja washindi hao ni Seif Ramdshani wa Shinyanga na Nyange kutoka Tabata. Droo hiyo ni sehemu ya promosheni ya Bet Bonanza ya…

Read More

YANGA:HATA TUKIFUNGWA,MALENGO YAPO PALEPALE

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba wanaweza kufungwa kwenye mechi za ligi ila hilo haliwataondoa kwenye mpango wa kutwaa taji la Ligi Kuu Bara. Kwenye msimamo Yanga ni namba moja ikiwa imecheza mechi 22 na kukusanya pointi 56 ikiwa haijapoteza mchezo zaidi ya kuambulia sare 5 na kushinda mechi 17. Ofisa Habari wa Yanga, Hassan…

Read More

YANGA KAMILI KUIKABILI IHEFU

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa YangaYanga amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa nusu fainali dhidi ya Ihefu unaotarajiwaunaotarajiwa kuchezwa leo Mei 19 2024 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. YangaYanga ni mabingwa watetezi wa CRDB Federation Cup walitwaa taji hilo kwa ushindi wa bao 1-0 Azam FC katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga….

Read More

PIGA MKWANJA KUPITIA UEFA CHAMPIONS LEAGUE LEO

Unasubiri nini? Wakati ligi ya mabingwa barani ulaya ikiwa ni fursa kwako wewe mteja wa Meridianbet utapata nafasi ya kujipigia maokoto ya kutosha, Kwani michezo hii imekua ikiwapa watu vitita vya kutosha kila inapochezwa. Michezo ambayo itapigwa leo kwenye ligi ya mabingwa ulaya itakua imepewa Odds bomba sana pale Meridianbet, Hivo kwa wale wote wanaobashiri…

Read More

BAO LA MAYELE LASEPA NA TUZO CAF

BAO alilopachika mwamba Fiston Mayele kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Monastir limechaguliwa kuwa bao bora kwa mzunguko wa tano. Nyota huyo mtambo wa mabao alipachika bao hilo kwenye mchezo uliochezwa Machi 19,2023 Uwanja wa Mkapa. Pasi ya mshikaji wake Kennedy Musonda ilikutana na Mayele aliyekuwa nje kidog ya 18 akaachia…

Read More

AZAM FC KUTUPA KETE YAO KAITABA

KALI Ongala, Kaimu Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa wamejiandaa vizuri kwa ajili ya mchezo wa leo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar. Azam FC inaanza leo mzunguko wa pili baada ya kufunga mzunguko wa kwanza na rekodi ya kushinda mechi 8 mfululizo chini ya Ongala. Kwenye msako wa pointi 24, Ongala…

Read More

HAWA HAPA WATUPIAJI KIMATAIFA

 KWENYE anga la kimataifa rekodi zinaonyesha kuwa namba za wazawa kufurukuta ni finyu kutokana na wageni kutawala kila kona. Yanga na Simba wanaperusha bendera kwenye Ligi ya Mabingwa huku Azam FC kwenye Kombe la Shirikisho wao mchezo wao walipoteza kwa kufungwa mabao 3-0 dhidi ya Al Akhadar ya Libya wana kazi ya kufanya mchezo wa…

Read More

MWAKINYO AVULIWA UBINGWA

HABARI mbaya kwa Watanzania na mashabiki wa ngumi ni kwamba Shirikisho la ngumi za kulipwa duniani limewavua mikanda ya ubingwa wa WBF Intercontinental mabondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo ‘Champez’ na Ibrahim Class kutokana na kutotetea mikanda hiyo kwa muda mrefu tofauti na sheria zake.  Rais wa Shirikisho hilo, Howard Goldberg kutoka Afrika…

Read More

USHINDI WA TSH MIL 26 WAMFANYA APAGAWE

Ilikuwa ni kama ndoto iliyootwa usiku na mara ghafla inageuka kweli, kutoka kulala maskini na kuamka Tajiri mwenye mamilioni ndani, hii sio hadithi ya soga ni simulizi ya kweli ya kijana aliyeweka mtaji wad au la Elfu 20 na kupata faida ya Tsh Mil 26. Utajiuliza ilikuaje yakawezekana ni biashara gani aliifanya ikampatia faida kubwa…

Read More

NTIBANZOKIZA ATWAA TUZO YAKE

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Saido Ntibanzokiza ametwaa tuzo ya mchezaji bora chaguo la mashabiki. Nyota huyo ni mchezaji bora kwa Mei baada ya kuwashinda washkaji zake wawili alioingia nao fainali. Ni Shomari Kapombe na Hennoc Inonga ambao hawa ni wataalamu kwenye eneo la ulinzi. Ntibanzokiza ndani ya Mei kwenye mechi mbili katupia jumla ya mabao…

Read More

SIMBA 2-1 SINGIDA BIG STARS

VIUNGO wameamua kuonyesha makeke yao ndani ya Uwanja wa Mkapa ambapo ubao unasoma Simba 2-1 Singida Big Stars ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara.  Kiungo Clatous Chama amefikisha jumla ya pasi 14 akitoa ile ya kwanza kwa Jean Baleke dakika ya 8 na ile ya pili dakika ya 20 kwa Saidi Ntibanzokiza. Bonge moja…

Read More

LIVERPOOL WAPATA SARE KWA MSAADA WA VAR

KIKOSI cha Liverpool licha ya kupata sare bao kina kazi kwenye mchezo wa marudiano wa Kombe la FA dhidi ya Wolves. Kwenye mchezo wao uliochezwa Uwanja wa Anfield ilibaki kidogo watunguliwe lakini VAR iliwaokoa kwa kuligomea bao la Toti alilofunga dakika za mwisho katika sare ya 2-2 kwenye Uwanja wa Anfield. Toti aliifunga dakika ya…

Read More