
IMEFICHUKA SABABU 4 ZAMNG’OA STRAIKA MZUNGU,YANGA YAMALIZA KAZI CAF
IMEFICHUKA sababu 4 zamng’oa staraika Mzungu Simba,Yanga yamaliza kazi mapema CAF, ndani ya Spoti Xtra Alhmaisi
IMEFICHUKA sababu 4 zamng’oa staraika Mzungu Simba,Yanga yamaliza kazi mapema CAF, ndani ya Spoti Xtra Alhmaisi
BODI ya Ligi Tanzania (TPLB) imefanya maboresho ya ratiba ambapo mchezo wa Ligi Kuu namba 82 kati ya Simba Sc dhidi ya KMC Fc uliokuwa uchezwe Jumanne Novemba 5, 2024 katika dimba la KMC Complex sasa utapigwa siku ya Jumatano, Novemba 6, 2024 katika dimba hilo hilo. Aidha TPLB imefanya mabadiliko mengine ambapo mchezo namba…
YANGA hii imeendaaa, Chama atoa tamko zito Simba SC ndani ya Championi Jumamosi
BAADA ya wawakilishi wa kimataifa katika Kombe la Shirikisho, Simba kufungwa 3-0 dhidi ya ASEC Mimosas watani zao wa jadi Yanga wametupa jiwe gizani kimyakimya. Kupitia Insta yao waliachia picha ya Djuma Shaban akiwa mwenye kicheko na kuuliza..wawakilishi wa nini..au basi… Haji Manara Ofisa Habari wa Yanga aliweza kudondosha maoni yake kwa kuandika labda wawakilishi…
CLATOUS Chama, mwamba wa Lusaka ameanza kujipata taratibu baada ya kuonyesha ubora uliokosekana kwa muda mrefu ndani ya uwanja. Chini ya Roberto Oliveira, mchezo wa mwisho kufanya umwamba ilikuwa dhidi ya Power Dynamos alipofunga mabao mawili, ubao uliposoma Power Dynamos 2-2 Simba baada ya hapo hakuwa kwenye ubora wake. Ikumbukwe kwamba alikuwa ndani ya Uwanja…
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba aliweka wazi sababu za Kibu Dennis kuchelewa kujiunga na timu kambini nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2024/25 unaotarajiwa kuanza Agosti 16.
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kupoteza mchezo wa kimataifa dhidi ya Vipers SC ni njia kwake kuweza kushinda Ngao ya Jamii dhidi ya Simba. Agosti 6,2022 Yanga ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Vipers ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Simba,Agosti 13, Uwanja wa Mkapa. Mchezo huo ulikuwa ni wa…
UONGOZI wa Yanga umeweka waz kuwa utafanya maboresho kwenye kikosi hicho kwa umakini kuelekea kwenye dirisha dogo linalotarajiwa kufunguliwa Desemba. Moja ya nyota wanaotajwa kuwa kwenye hesabu za kuwa ndani ya Yanga ni pamoja na Chvaviro ambaye yupo kwenye hesabu za kusajiliwa na timu hiyo.
KIKOSI cha Simba ambacho kinatarajiwa kuanza mchezo wa fainali Kombe la Mapinduzi 2024 dhidi ya Mlandege kipo namna hii:- Ayoub Lakred Shomari Kapombe Israel Mwenda Kazi Che Malone Fabrince Ngoma Luis Miquissone Babacar Sarr Moses Phiri Saido Ntibanzokiza Willy Onana Akiba Ally Salim Abel Duchu Kennedy Hamis Karabaka Chasambi Baleke
Katika juhudi za kukuza na kuhamasisha usawa wa kijinsia katika michezo, Meridianbet imetoa truck suits hii leo kwa wanawake mabondia wanaojiandaa kushiriki michuano ya ngumi huko Serbia. Kampuni hiyo ya michezo ya kubashiri imetoa msaada wa kipekee kwa wanawake hawa kwa kugawa sidiria za lori maalum ambazo zitawasaidia katika safari zao na kuonyesha uungwaji mkono…
Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc, Ally Kamwe akizungumza ndani ya kipindi cha The Switch ndani ya Wasafi FM amejibu lililohoji ni ipi nafasi yake klabuni hapo na nafasi ya Haji Manara ni ipi? “Mtendaji Mkuu wa Yanga ndiye mwenye mamlaka wa kuelezea nafasi za watendaji wa Klabu ni Mtendaji mkuu, Andre Mtine, ila…
BAADA ya kukamilisha mwendo katika hatua ya makundi na kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, kituo kinachofuata ni mchezo wa Ligi Bara dhidi ya Tanzania Prisons. Mchezo wao wa mwisho katika hatua ya makundi msimu wa 2023/24 ilikuwa dhidi ya Jwaneng Galaxy hawakuwa na chaguo lolote zaidi ya kushinda. Ushindi wa mabao 6-0…
KIKOSI cha Azam FC kinachofundishwa na Kocha Mkuu, Yusuph Dabo kimerejea chimbo kwa maandalizi ya mechi za ushindani ndani ya Ligi Kuu Bara. Azam FC inaingia kwenye rekodi ya timu mbili ambazo zimepata ushindi mbele ya Yanga inayofundishwa na Miguel Gamondi katika mechi za ligi. Ikumbukwe kwamba Yanga ni mabingwa watetezi wamekuwa kwenye mwendo bora…
YANGA leo Machi 12, 2025 itakutana na Coastal Union katika hatua ya 32 bora ya Kombe la Shirikisho la CRDB. Mchezo huu utachezwa saa 10:00 jioni katika Uwanja wa KMC Complex jini Dar. Yanga SC, mabingwa watetezi wa michuano hii, wanatarajia kuendeleza rekodi yao nzuri dhidi ya Coastal Union. Katika rekodi za nyuma, timu hizi…
Meridianbet kampuni ya kwanza ya ubashiri Tanzania, leo hii inatoa pesa kibao endapo ukiweka dau lako dogo na kuanza kubashiri nao kwani kama jana hukuweza kupiga mpunga basi nafasi yako ipo leo. Ingia meridianbet na ubashiri sasa. Darubini yangu ilianza kumulika ligi ya Uhispania, LALIGA ambapo Real Madrid atamualika UD Almeria ambaye mechi iliyopita alitoa…
VICTOR Ackpan kiungo wa Simba amepewa mkono wa kwa kheri ndani ya kikosi cha Simba. Kiungo huyo raia wa Nigeria yamemkuta masuala ya ‘Thank You’ kama iliyokuwa kwa Augustino Okra raia wa Ghana. Kiungo huyo aliibuka ndani ya Simba akitokea kikosi cha Coastal Union ya pale Tanga inayotumia Uwanja wa Mkwakwani kwa mechi za nyumbani….
BAADA ya kupoteza mchezo wao wa kwanza dhidi ya Ruvu Shooting msimu wa 2022/23 kwa kufungwa bao 1-0, Agosti 19,2022 Ihefu ina kazi ya kusaka ushindi mbele ya Namungo FC, Uwanja wa Uhuru. saa 10:00 jioni. Ihefu inanolewa na Kocha Mkuu Zuber Katwila ambaye aliibuka hapo baada ya kubwaga manyanga ndani ya Mtibwa Sugar leo…