KOCHA MPYA CHELSEA ASAINI DILI REFU

THOMAS Tuchel alifutwa kazi ndani ya Klabu ya Chelsea baada ya kupoteza mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Jumanne kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Dinamo Zagreb. Mbali na kichapo hicho pia Tuchel hakuwa na mwendo mzuri kwenye mechi za Ligi Kuu England msimu wa 2022/23. Ni Graham Potter aliyekuwa Kocha Mkuu wa Brighton ametangazwa…

Read More

FAINALI YA MAPINDUZI UBABE TUPA KULE

HONGERA Kwa timu ambazo zimeweza kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Mapinduzi na kesho wanatarajiwa kuweza kucheza na kumpata mshindi. Ipo wazi kwamba kila timu inahitaji ushindi na ambaye atajipanga ana nafasi kubwa ya kuweza kutwaa Kombe la Mapinduzi ambalo ni heshima na litawafanya mashabiki aweze kufurahi. Mabingwa watetezi wao wamefungashiwa virago ambao ni…

Read More

ALONSO ATAJWA KUMRITHI KLOPP LIVERPOOL

INAELEZWA kuwa, licha ya kuzungumzia mafanikio ya Jurgen Klopp ndani ya Liverpool, lakini mambo yanaweza kubadilika wakati wowote kikosini hapo na nafasi yake ikachukuliwa na kiungo wa zamani wa timu hiyo, Xabi Alonso. Klopp raia wa Ujerumani, ndiye alibadili mambo na kuweka historia klabuni hapo baada ya kutwaa Ligi ya Mabingwa Ulaya na kufuta ukame…

Read More

MASTAA WATATU SIMBA WAWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA

 WACHEZAJI watatu wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco wanawania tuzo ya mchezaji bora. Tuzo hiyo ni maalumu kwa ajili ya mashabiki ambao wamekuwa wakichagua mchezaji kupitia njia ya mtandao kwa kumpigia kura mchezaji wanayempenda ili aweze kusepa na tuzo hiyo. Ni kiungo mzawa Mzamiru Yassin kiungo wa kazi, Rally Bwalya pia…

Read More

SHINDA SIMU MPYA ZA KISASA NA MERIDIANBET!

Meridianbet inazidi kuwapa wateja wake burudani ya kipekee! Sasa unayo nafasi ya kipekee ya kuondoka na moja kati ya Samsung A25 mpya kabisa (5x) kupitia promosheni ya kusisimua: Jisajili, Weka Amana, Cheza na Ushinde! Ni rahisi kushiriki: 👉 Jisajili kwenye Meridianbet. 👉 Weka amana kwenye akaunti yako. 👉 Cheza Kasino au kubashiri Michezo yoyote. Kila…

Read More

MAAGIZO HAYA YAMETOLEWA NA MASTA GAMONDI

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuwakabili wapinzani wao Medeama FC ya Ghana, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ametoa maagizo mazito kwa wachezaji wake wote kuanzia kwenye safu ya ushambuliaji na ulinzi. Ipo wazi kuwa baada ya kucheza mechi tatu katika hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, safu ya ushambuliaji ya Yanga ilitupia mabao…

Read More

MCHEZO WA COASTAL UNION V DODOMA JIJI KUPANGIWA TAREHE

MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Coastal Union v Dodoma Jiji kwa sasa utapangiwa tarehe nyingine baada ya ile ya awali kushindikana. Novemba 5,2022 mchezo huo ulipaswa kuchezwa kwa wababe hao kusaka pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Ni Uwanja wa Mkakwani Tanga mchezo huo ulipaswa kuchezwa ambapo timu zote zilikuwa zimefanya maadalizi…

Read More

DHAHABU IMEANZA KUPATA MOTO, KAZI IPO JUMANNE

KILE chumba cha mafanikio kilichokuwa kina giza totoro mwanzo mwisho angalau sasa mwanga umeanza kupenya huku ile dhahabu ikianza kupata moto. Ni wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika walifanikiwa kupata ushindi ugenini baada ya ubao kusoma Vipers 0-1 Simba, Februari 25,2023 Uwanja wa St Mary’s, hapa tunakuletea kazi ilivyokuwa namna hii:- Aishi Manula…

Read More

MAYELE AMPA TANO FEI TOTO

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga SC, Fiston Mayele amempongeza kiungo wa Azam FC ambaye naye amewahi kukipiga Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ baada ya kufunga goli la ushindi wa 2-1 kwenye mchezo dhidi ya waajiri wake wa zamani. Feisal aliibuka Azam FC akitokea Yanga walipokutana kwenye mchezo wa mzunguko wa pili wa ligi uliochezwa Machi…

Read More

MWAMBA FEI KAFUNGUA AKAUNTI YA MABAO

KIUNGO Feisal Salum amefunga bao la kwanza msimu wa 2024/25 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ken Gold uliochezwa Oktoba 25 2024 waliposepa na pointi tatu mazima kwenye mchezo huo. Mchezo huo jumla mabao matano yalifungwa ambapo mwamuzi alikuwa Ahmed Arajiga aliamua mapigo mawili ya penalti mojamoja kwa kila timu kutokana na wachezaji…

Read More

NYOTA WA YANGA BADO MAJANGA

BADO hajawa fiti winga Agustino Okra Magic aliyewahi kucheza ndani ya Simba kabla ya kuibukia ndani ya kikosi cha Yanga msimu wa 2023/24. Ipo wazi kwamba Okra alipata maumivu kwenye mchezo wake wa kwanza kuvaa uzi wa Yanga katika mechi za ushindani ilikuwa Mapinduzi 2024, Zanzibar. Hakuwa sehemu ya kikosi kilichocheza mchezo wa kwanza ndani…

Read More