LIVERPOOL YAKAA KILELENI KWA MUDA LIGI KUU ENGLAND
LIVERPOOL walikaa kwa muda nafasi ya kwanza kabla ya Manchester City kurejea tena katika nafasi yao walipoweza kushinda mbele ya Leeds United kwa mabao 4-0. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa St James wakiwa ugenini Liverpool ilishinda bao 1-0 dhidi ya Newcastle United Ni Nabt Keita alipachika bao hilo dk ya 19 akitumia pasi ya Diogo…