BRIGHTON WAWAPIGA WASHIKA BUNDUKI

BRIGHTON hawana kazi ndogo palepale wakiwa ugenini wamemtungua Arsenal na kusepa na pointi tatu mazima mbele ya washika bunduki. Ni Julio Enciso dakika ya 51, Deniz Undav dakika ya 86 na Pervis Estupinan dakika ya 90+6 alitupia kambani. Ilikuwa Uwanja wa Emirates wakati kazi hiyo ikipigwa ñdani ya dakika 90. Arsenal inabakiwa na pointi 81…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA MTIWA SUGAR

LEO Juni 29 mabingwa wa Ligi Kuu Bara Yanga wanakamilisha mzunguko wa 30 kwa kucheza na Mtibwa Sugar. Hiki hapa kikosi cha Yanga:- Mshery Kibwana Bryson Mwamnyeto Bacca Feisal Farid Jesus Ambundo Kaseke Mayele Akiba Johora Boxer Yassin Shaibu Balama Ushindi Nkane Makambo Yusuph

Read More

NDOYE APEWA MKATABA AZAM FC

PAPE Malickou Ndoye nyota wa Azam FC ameongeza mkataba wa mwaka mmoja kubaki ndani ya timu hiyo. Nyota huyo raia wa Senegal amekuwa na kazi kubwa katika timu hiyo ambayo imekamilisha ligi ikiwa nafasi ya tatu. Taarifa rasmi kutoka ndani ya Azam FC imeeleza kuwa nyota huyo ambaye ni beki kitasa bado yupo ndani ya…

Read More

SIMBA YAIBUKA NA USHINDI DHIDI YA VIPERS

LICHA ya ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 1-0 Vipers bado lile pira Dubai kwa Simba linasakwa kwa tabu sana na ubutu wa ushambuliaji ukiwa ni shida. Bao pekee la ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa hatua ya makundi limefungwa na Clatous Chama katika dakika ya 45. Shukrani kwa Aishi Manula kwa kazi…

Read More

HAJI MANARA:TUMEJIPANGA KUSHINDA MBELE YA AZAM

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wanaamini mchezo wao dhidi Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Oktoba 30 utakuwa na ushindani mkubwa ila wamejipanga kupata pointi tatu muhimu. Akizungumza mbele ya Waandishi wa Habari katika ukumbi wa mikutano wa Serena Hotel, Manara amesema kuwa wanatambua mchezo utakuwa na ushindani kwa kuwa wanakutana na timu imara….

Read More

SIMBA KUJA KIVIGINE TENA MASHINDANO YAJAYO

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa utakuja kivingine ndani ya msimu mpya wa 2023/24 kwa kuleta wachezaji wenye sifa ya ushindani na kutafuta matokeo bila kukata tamaa. Katika anga la kimataifa wamegotea hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika na watani zao wa jadi Yanga wapo hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Kwenye ligi…

Read More

KAGERA SUGAR YAZIPIGIA HESABU POINTI ZA YANGA

LIGI Kuu Bara F2 2024 inarejea kwa mara nyingine tena baada ya mapumziko yaliyotokana na timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kushiriki mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, (AFCON). Ni hatua ya makundi Stars iligotea ikukusanya pointi mbili katika michezo mitatu iliyocheza huku bao likifungwa moja na nyota Simon Msuva. Leo Kagera Sugar…

Read More

AZAM FC NI MOTO KWENYE LIGI

KWENYE timu ambazo zimefunga kwa rekodi matata ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 huwezi kuiweka kando Azam FC. Licha ya mechi zake kuwa na ushindani mkubwa pamoja na adhabu kwa baadhi ya wachezaji kama ilivyotokea mchezo wa Azam FC 3-2 Coastal Union bado boli inatembea. Ni Ayoub Lyanga huyu ni mtambo wa mabao…

Read More

HALI NI NGUMU KWELIKWELI TIMU ZIPAMBANE

KAZI ni ngumu wa kweli kwa sasa kutokana na ligi kuwa karibu na mwisho huku kila timu ikizidi kupambana kusaka ushndi ndani ya dakika 90. Hakika mwendelezo wa baadhi ya timu kwenye uwanja sio mzuri kutokana na matokeo ambayo wanayapata kuwa hayana a furaha kwao. Licha ya hayo kutokea ni muhimu kuzidi kuwa na mipango…

Read More

SIMBA KAMILI KUWAKABILI YANGA KWA MKAPA

SHOMARI Kapombe, beki wa kupanda na kushuka ndani ya kikosi cha Simba ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga. Aprili 20 2024 mchezo wa Ligi Kuu Bara unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa ikiwa ni mzunguko wa pili kwa timu hizo kukutana. Ipo wazi kwamba kwenye mzunguko wa kwanza ubao…

Read More