
SIMBA KUKIPIGA DHIDI YA AL HILAL YA SUDAN KWA MKAPA
KLABU ya Al Hilal ya nchini Sudan kesho Januari 25,2023 inatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kwa ajili ya kuweka kambi ya kujiandaa na michezo ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Kutokana na mahusiano mazuri ambayo wamejenga dhidi ya Klabu ya Simba SC ya Tanzania hawa watatakuwa wenyeji wao. Wakiwa nchini watacheza michezo mitatu ya kirafiki dhidi ya…