UWANJA WA SINGIDA NI LITI,KAMBI ARUSHA

SINGIDA Big Stars kwa msimu wa 2022/23 imeweka kambi yake Arusha ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya unaotarajiwa kuanza Agosti. Timu hiyo kwa sasa inaendelea kufanya maboresho kwa kuwatambulisha wachezaji wapya ambao imewapa madili mapya. Ikumbukwe kwamba awali ilikuwa inaitwa DTB wakati huo ilipokuwa inashiriki Championship na kwa sasa imebadili jina na inaitwa Singida Big…

Read More

KAGERA SUGAR 1-1 SIMBA, KAITABA

BEKI wa Simba Henock Inonga amepachika bao lake la kwanza leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar. Ni dakika ya 38 Inonga alipachika bao hilo akiweka usawa ndani ya dakika 45. Ni Kagera Sugar walianza kumtungua Aishi Manula kipa wa Simba ambaye hakuwa na chaguo kuokoa mpira huo. Ilikuwa ni dakika…

Read More

YANGA:SIMBA WALIJIPOTEZEA UBINGWA WENYEWE

MWINYI Zahera,Mkurugenzi wa Maendeleo ya Soka la Vijana ndani ya Yanga amesema kuwa Simba wamejipotezea ubingwa wa ligi weyewe baada ya kushindwa kuwafunga vinara wa ligi. Ni Yanga wanaongoza wakiwa na pointi 60 baada ya kucheza mechi 24 waliweza kufikisha pointi hizo baada ya ushindi mbele ya Dodoma Jiji kwa mabao 2-0 Uwanja wa Jamhuri,Dodoma….

Read More

AJALI YA NDEGE YAUWA WATU 61 BRAZIL

Ndege chapa ATR 72-500 inayomilikiwa na kampuni ya Voepass ilianguka jioni ya jana katika mji wa Vinhedo, wakati ikitokea jimbo la kusini la Parana kuelekea uwanja wa ndege wa kimataifa wa Sao Paulo. Juhudi za kuipata na kuitambua miili zilikuwa zinaendelea hadi alfajiri ya leo. Mamlaka ya ajali za anga ya Brazil, CENIPA, imetangaza kuanza…

Read More

HAPPY NEW YEAR 2024

UKURASA mwingine tena unafunguliwa baada ya 2023 kugota mwisho na sasa ni 2024 ambapo mapambano yanaendelea kwenye kila idara ikiwa ni pamoja na ulimwengu wa mpira. Happy New Year 2024 na mastaa waliofanya kazi kubwa kwenye kusaka rekodi namna hii:-

Read More

MWEDNO WA RUVU NI WA KINYONGA

MWENDO wa Ruvu Shooting kwa msimu wa 2022/23 hakika ni wa kinyonga kutokana na kushindwa kuwa kwenye ule ubora wao wa kupapasa. Kwenye msimamo ipo nafasi ya 15 imekusanya pointi 20 baada ya kucheza mechi 25. Ukuta wao umeruhusu kutunguliwa mabao 30 huku ile safu yao ya ushambuliaji ikitupia mabao 16. Timu hiyo imepoteza jumla…

Read More

DAKIKA 450 ZA MOTO KWA GOMES

LICHA ya kwamba ameshabwanga manyanga ndani ya kikosi cha Simba, Didier Gomes raia wa Ufaransa kuna mechi nyingi ambazo alizishuhudia kwake zilikuwa ni za moto na pasua kichwa kwa namna wachezaji wake walivyopambana na mwisho kupata matokeo ama kuangukia pua. Hizi ni Mechi 5 ambazo ni dakika 450 zilizokuwa ni za moto kwa Gomes alipokuwa…

Read More

MITETEMO YA MAYELE YATUMIKA KUITISHA SIMBA

UONGOZI wa Yanga umetumia mitetemo ya Fiston Mayele kuwatisha wapinzani wao wajao kwenye ligi ambao watakuwa ni Simba. Yanga inaongoza ligi ina pointi 51 baada ya kucheza mechi 19 bila kupoteza huku Simba ambao ni mabingwa watetezi wakiwa na pointi 41 baada ya kucheza mechi 19. Ofisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli amesema kuwa uwepo…

Read More

USHINDI WA TAIFA STARS, WAZIR AFICHUA SIRI

WAZIR Junior mfungaji wa bao pekee la ushindi kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Zambia ameweka wazi kuwa ushirikiano kutoka kwa wachezaji wengine uliwapa nguvu ya ushindi katika mchezo huo. Tanzania ipo kundi E ambapo vinara ni Morocco wenye pointi 6 baada ya kucheza mechi mbili huku Tanzania ikiwa nafasi ya…

Read More