KICHUYA AINGIA ANGA ZA SIMBA
IMEELEZWA kuwa mabosi wa Simba wanafikiria namna ya kuweza kumrudisha nyota wao wa zamani ndani ya kikosi hicho Shiza Kichuya ambaye kwa sasa anakipiga Namungo FC. Kichuya aliwahi kucheza Simba ambapo alijiunga na timu hiyo Julai 2016 kisha akasepa 2019 kuelekea Misri na akarudi tena ndani ya Simba Januari 15,2020 mwanzoni mwa msimu wa 2020/21…