SIMBA YATAJA TIMU ITAKAYOTWAA UBINGWA

KOCHA wa Simba, Pablo Franco amesema kuwa kwa upande wako anaona Azam FC wanayo nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa kwa siku za mbeleni kutokana na kikosi chao kuimarika kila siku. Pablo amesema amekutana na Azam FC kwenye mechi mbili kwa siku za hivi karibuni na ameona kuna utofauti mkubwa kwenye mechi ya kwanza na ya pili ambayo wamecheza na anaona kabisa timu ina ari ya…

Read More

MASHINDANO YA GOFI EUROPE TOUR KUFANYIKA KILIMANJARO

SERIKALI kwa kushirikiana na Chama cha mchezo wa Gofu Tanzania (TGU), kimethibitisha kuwa wenyeji wa mashindano ya Gofu Europe Tour yatakayofanyika Aprili 7 hadi 10 mwaka huu katika viwanja vya Kilimanjaro Jijini Arusha. Mashindano hayo yana lengo la kuunga mkono wa juhudi ya serikali chini ya Rais, Samia Suluhu Hassan kuendeleza utalii nchini.  Mwenyekiti wa…

Read More

IVORY COAST NA MAAJABU YAO AFCON

IVORY Coast ni mabingwa ushindi wapya wakionyesha maajabu yao kwa kupindua meza kibabe kwenye mchezo wa fainali uliokuwa ni wa kuvuja jasho na akili nyingi. Baada ya dakika 90 wenyeji Ivory Coast waliibuka kwa ushindi wa mabao 2-1 Nigeria katika fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON 2023. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi walikuwa nj…

Read More

Mamilioni ya Pesa Kutolewa na Meridianbet Leo

Timiza ndoto zako leo hii ukiwa na mabingwa wa ubashiri Tanzania, Meridianbet kwa kubeti mechi zako za ushindi. Chelsea, AS Roma, RB Leipzig na wengine kibao wapo dimbani kuhakikisha hutoki patupu. Tukianza na BUNDESLIGA kule Ujerumani kuna mechi za pesa ambapo FC Heidenheim atamualika kwake VFB Stuttgart ambao walipata ushindi kwenye mechi yao iliyopita. Mwenyeji…

Read More

YANGA:TUMEONDOA MATUMAINI YOTE YA SIMBA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba umeondoa matumaini yote ambayo walikuwa nayo watani wao wa jadi Simba kutwaa mataji msimu huu. Simba ilikuwa inatetea taji la Kombe la Shirikisho na kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 mbele ya Yanga. Kwenye upande wa Ligi Kuu…

Read More

RONALDO AWEKA REKODI NYINGINE YA DUNIA

NYOTA wa timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo ameweka historia kwa mara nyingine kwa kuiongoza timu hiyo kushinda mbele ya Ghana. Ghana kutoka Afrika haikuwa na bahati kwenye mchezo uliochezwa Alhamisi baada ya kutunguliwa mabao 3-2. Nyota huyo alifunga kwenye mchezo huo na aligoma kujibu swali kuhusu kuondoka kwake ndani ya kikosi cha Manchester…

Read More

WAGOSI WA KAYA WANAJISUKA UPYA

UONGOZI wa Coastal Unioni, umesema unaendelea kulitumia dirisha hili dogo la usajili kuboresha kikosi chao kwa kuzingatia ripoti ya Kocha Mkuu, David Ouma aliyoiwasilisha mapema kabla ya usajili kufunguliwa Desemba 16, mwaka huu. Ofisa Habari Coastal Union, Abbas El-Sabry, amesema ripoti ya kocha mkuu imeanza kufanyiwa kazi haraka kwa sababu hakuna muda wa kupoteza, huku…

Read More

JEMBE LILILOWATULIZA WAARABU KWA SIMBA LATAJWA

BAADA ya kupata pointi tatu za nyumbani, uongozi wa Simba umeibuka na kumtaja kiungo wao mkabaji Jonas Mkude ndiye aliyekuwa kikwazo kwa wapinzani wao RS Berkane ya nchini Morocco. Simba ilifanikiwa kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Berkane katika mchezo wa nne wa Kundi D, uliopigwa wiki iliyopita kwenye Uwanja wa Mkapa. Bao la…

Read More

NATHAN AKE APELEKA KILIO KWA WASHIKA BUNDUKI

BAO pekee ambalo lilipeleka kilio kwa washika bunduki Arsenal kwenye mchezo wa raundi ya 4 FA Cup lilipachikwa kimiani na nyita Nathan Ake. Kwenye mchezo huo uliokuwa unaushindani mkubwa mashabiki wa Arsenal walishuhudia dakika 45 ngoma ikiwa ni nzito kwa timu zote mbili wakiamini watafanya jambo. Ubao ulipabdilika usomaji dakika ya 64 ambapo ulisoma Manchester…

Read More

SINGIDA BIG STARS 0-0 YANGA

UWANJA wa Liti inapigwa nusu fainali ya Azam Sports Federation ya kibabe. Singida Big Stars 0-0 Yanga kila timu ikipambana kusaka ushindi. Mshindi wa mchezo wa leo anakwenda kumenyana na Azam FC iliyotangulia katika hatua ya fainali mapema kabisa. Azam FC ilipata ushindi wa mabao 2-1 Simba mchezo uliochezwa Uwanja wa Nangwanda Sijaona.

Read More