UWANJA wa Liti inapigwa nusu fainali ya Azam Sports Federation ya kibabe.
Singida Big Stars 0-0 Yanga kila timu ikipambana kusaka ushindi.
Mshindi wa mchezo wa leo anakwenda kumenyana na Azam FC iliyotangulia katika hatua ya fainali mapema kabisa.
Azam FC ilipata ushindi wa mabao 2-1 Simba mchezo uliochezwa Uwanja wa Nangwanda Sijaona.