
LIVERPOOL YAPIGA 6-0 LEEDS UNITED
VIJANA wa Jurgen Klopp waliamua kushusha mvua za mabao mwa wapinzani wao Leeds United kwenye mchezo wa Ligi Kuu England kwa kusepa na pointi tatu mazima. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Anfield ulisoma Liverpool 6-0 Leeds United. Ni Mohamed Salah alitupia mawili na yote kwa penalti dakika ya 15 na 35 huku…