
VIDEO:AZAM FC:YANGA WAMEJILETA,BUMBULI ANYAMAZE
OFISA Habari wa Azam FC, Zakaria Zakazi amesema kuwa mchezo uliopita walifungwa mabao 2-0 katika mchezo wa ligi sasa wanakwenda kukutana kwenye mchezo wa Kombe la Mapinduzi watapambana kufanya vizuri na yule ambaye atakuwa na mpango mzuri atapata matokeo mazuri na utapigwa mchezo mkubwa.