
IKIWA NA MOHAMED SALAH, MISRI YAPIGWA AFCON
NIGERIA wameipoteza Misri katika mchezo wa Kombe la Mataifa ya Afrika,’Afcon,’ ambapo baada ya dakika 90 ubao wa Roumde Adjia ulisoma Nigeria 1-0 Misri. Licha ya uwepo wa staa anayekipiga ndani ya Liverpool, Mohamed Salah, Misri ilikwama kupata ushindi kwenye mchezo huo. Bao la ushindi kwa Nigeria iliyo kundi D lilifungwa na Kelechi Iheanacho dakika…