
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMANNE
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
KOCHA Mkuu wa Klabu ya Chelsea, Thomas Tuchel ameweka wazi kuwa kipa wake Kepa Arrizabalaga hapaswi kulaumiwa kwa kukosa penati na hawezi kujutia kwa nini alimpa nafasi dakika za mwisho. Katika fainali ya Carabao Cup iliyopigwa juzi Uwanja wa Wembeley, Kepa alikosa penati na kuipa nafasi Liverpool kutwaa taji hilo kwa ushindi wa penalti 11-10…
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mechi zao zijazo na kurejesha shukrani kwa mashabiki ambao wamekuwa wakijitokeza kwa wingi uwanjani. Manara amesema:”Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya matokeo ambayo tunayapata kwenye mechi zetu za Kombe la Shirikisho pamoja na mechi za ligi. “Ushindi huu unahanikizwa na kila Mwanayanga…
ZAKARIA Thabit, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa kesho dhidi ya Coastal Union hivyo mashabiki wajitokeze kwa wingi. Kwenye msimamo ikiwa nafasi ya 3 na pointi 24 itamenyana na Coastal Union iliyo nafasi ya 11 na pointi 17 zote zimecheza mechi 15. Thabit amesema:”Mashabiki waje mapema…
NYOTA wa zamani wa Yanga, Tuisila Kisinda ambaye kwa sasa anacheza ndani ya kikosi cha RS Berkane ya Morocco amesema kuwa anaweza kurudi kwa mara nyingine Tanzania kucheza. Kisinda alikuwa shuhuda wa ubao wa Uwanja wa Municipal de Berkane ukisoma RS Berkane 2-0 Simba na kazi kubwa ilifanywa na wachezaji wa timu ya RS Berkane…
MACK Yanga, shabiki wa Yanga amesema kuwa Yanga ni tamu,amewazungumzia wapinzani wake Simba pia ambao wanaiwakilisha nchi kwenye mashindano ya kimataifa. Februari 27 Yanga ilishinda mabao 3-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa na watupiaji walikuwa ni Fiston Mayele aliyetupia mawili na Said Ntibanzokiza.
ABBAS Tarimba, Mkurugenzi wa Utawala na Uthibiti katika kampuni ya kubashiri ya SportPesa, Tanzania amesema kuwa mwenye timu nzuri atashinda huku akiweka wazi kuwa matokeo ya semina yameanza kuonekana.
RALF Rangnick, Kocha Mkuu wa Manchester United amewachana mastaa wa timu hiyo kwa kuwaambia kwamba wanatakiwa kuongeza umakini. Juzi Manchester United walikosa nafasi nyingi za wazi kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa Uwanja wa Old Trafford ilikuwa ni Februari 26,2022 na waligawana pointi mojamoja. Wakiwa wamecheza mechi 6, Uwanja wa Old Trafford ni mabao…
LIVERPOOL ni mabingwa mara 9 wa Carabao Cup na usiku wa kuamkia leo waliweza kufikisha taji lao hilo la 9 muhimu. Ni ushindi wa penalti 11-10 dhidi ya Chelesea baada ya dakika 120 kukamilika bila kupatikana mbabe kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Wembeley. Mipango ya Kocha Mkuu wa Chelsea Thomas Tuchel kumuamini Kepa Arrizabalaga…
BAADA ya kikosi cha Simba kupoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi, Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco amesema kuwa watashinda mechi ambazo watacheza nyumbani. Kichapo hicho cha mabao mawili kinaifanya Simba kubaki na pointi 4 kibindoni huku RS Berkane ikifikisha pointi 6 na…
NI kitu gani ambacho wachezaji mlishindwa kukifanya kwenye mzunguko wa kwanza katika kusaka ushindi kwenye mechi ambazo mlikuwa mnacheza? Ni jambo gani ambalo benchi la ufundi mlikwama kulifanya kwenye mechi ambazo mlikuwa mnaziongoza na mwisho mkapata matokeo ambayo hayakuwa kwenye mpango wenu. Ilikuaje mashabiki mkwakwama kushangilia kwenye mechi ambazo mliweza kufika uwanjani mwanzo mwisho na…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
USIKU wa kuamkia leo Barcelona imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Athletic Club. Mabao ya Pierre Aubameyang dk 37,Ousmane Dembele dk 73, Luuk de Jong dk 90 na Memphis Depay dk 90+3 yalitosha kuipa pointi tatu Barcelona. Ilikuwa ni katika Uwanja wa Camp Nou mambo yote hayo yamefanyika. Inakuwa na pointi 45 baada…
MAPAMBANO ambayo walikuwa wakifanya Simba mbele ya RS Berkane yamekwama kuwapa ushindi baada ya kupoteza kwenye mchezo wa kundi D kwa kufungwa mabao 2-0. Adama Ba alipachika bao la kuongoza dakika ya 32 na lile la pili lilifungwa na Charki El Bahri dk 41 hawa waliimaliza Simba kipindi cha kwanza. Unakuwa ni mchezo wa kwanza…
KIKOSI cha Yanga kimesepa na pointi tatu mbele ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Ni mabao matatu ambayo yamefungwa kwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Fiston Mayele ametupia mabao mawili na pasi moja ya bao, amefunga dk 30 na 50 pasi kampa mshikaji wake Said Ntibanzokiza…
DICKOSN Ambundo,beki wa Yanga ni miongoni mwa nyota ambao wataukosa mchezo wa leo Februari 27 dhidi ya Kagera Sugar. Job ambaye ni beki wa kati anaukosa mchezo wa leo kutokana na kuwa kwenye mwendelezo wa kutumikia adhabu ya kifungo cha mechi tatu ambacho alipata kutokana na kucheza mchezo usio wa kiungwana mbele ya Richardson Ng’odya…