
ISHU YA PHIRI KUIBUKIA YANGA IPO HIVI
HATIMAYE mshambuliaji wa Zanaco FC ya Zambia, Moses Phiri, amefungukia dili lake la kujiunga Yanga, hukuakiweka wazi kuwa bado hajamalizana rasmi na klabu hiyo. Phiri raia wa Zambia, kabla ya kuhusishwa na Yanga, alikuwa akihusishwa kujiunga na Simba ambao awali walionesha nia ya kumsajili kabla ya upepo kuhamia Yanga. Akizungumza na Spoti Xtra moja kwa moja kutoka Zambia, Phiri alisema japo uongozi wake umefanya mazungumzo na Yanga, lakini bado hajasaini mkataba wa kuitumikia timu hiyo, hivyo ataendelea…