HOROYA 1-0 SIMBA CAF KIMATAIFA

DAKIKA 45 za mwanzo zimemeguka kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi Horoya 1-0 Simba bao ambalo limepachikwa ndani ya dakika 30 za kipindi cha mwanzo. Ni Pape Nd’iaye mwamba mmoja kaenda hewani akiwa huru na kumtungua kipa Aishi Manula. Kazi ni nzito kwa Simba kwa kuwa hakuna shambulizi kali ambalo wamelifanya…

Read More

NAHODHA WA YANGA ACHEKELEA KURUDI BONGO

NAHODHA wa zamani wa Yanga, raia wa DR Congo, Papy Tshishimbi, amefunguka kuwa anafurahi kurudi Tanzania na kucheza soka kama ilivyokuwa awali.   Papy alisema Tanzania ni nchi ambayo aliishi kwa upendo, furaha na amani na amekuwa na marafiki wengi ambao alikutana nao akiwa anacheza Yanga. Tshishimbi amerejea tena Tanzania na kusaini mkataba wa mwaka…

Read More

BIG BAD WOLF SLOTI YA KASINO YENYE KUTOA MAMILIONI

Meridianbet Kasino ya Mtandaoni hatimaye tena tumekusogezea Sloti yenye hadithi ya nguruwe watatu na mbwa mwitu wanaotema Mamilioni kibao kwa mzunguko mmoja. Hii ni ya kuitwa sloti za Big Bad Wolf na Big Bad Wolf Megaways. Sherehe ya bonasi za kasino ya mtandaoni inakusubiri. Big Bad Wolf Pigs of Steel ni sloti ya kasino ya…

Read More

MO KUTOA BILIONI 2 UJEZI WA UWANJA MPYA

MOHAMED Dewji ambaye ni mfanyabiashara na Rais wa Heshima ndani ya Simba  ameahidi kuchangia shilingi za Kitanzania bilioni 2 kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa Klabu ya Simba. Mo amesema kuwa ameweza kupokea maoni ya watu wengi ambao ni wadau wa mpira pamoja na mashabiki wa Simba ambao wameweka wazi kwamba wapo tayari kuchangia…

Read More

BANGALA, DJUMA KUPEWA MIKATABA MIPYA YANGA

MENEJA wa wachezaji wa Yanga, Djuma Shabani na Yanick Bangala, anayefahamika kwa jina la Faustino Mukandila, tayari ameshatua jijini Dar kwa ajili ya kufanya mazungumzo na viongozi wa timu hiyo ili kuongezewa mikataba kwa nyota wake hao wawili. Djuma Shabani na Bangala wote wamekuwa tegemeo ndani ya Yanga msimu huu ambapo wamefanikiwa kuwa sehemu ya…

Read More

YANGA YAPOTEZA DHIDI AL HILAL KIMATAIFA

KIKOSI cha Yanga kimekwama kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika na sasa nguvu zao ni kwenye Kombe la Shirikisho. Kwenye mchezo wa leo dhidi ya Al Hilal walikubali kupoteza kw bao 1-0 Yanga. Ni bao la dakika ya 3 lilitosha kuwapa ushindi Al Hilal wakiwa nyumbani na kutinga hatua ya makundi. Mohamed Abdrahaman…

Read More

YANGA KUIKABILI COASTAL UNION KWA TAHADHARI

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi amebainisha kuwa mchezo wao dhidi ya Coastal Union hautakuwa mwepesi lakini wamefanya maandalizi mazuri ili kupata pointi tatu muhimu baada ya dakika 90 za mchezo. Ni Aprili 7 2025 Yanga wanatarajiwa kumenyana na Coastal Union ya Tanga, saa 10:00 Uwanja wa KMC, Complex ikiwa ni mzunguko wa pili baada…

Read More

MABINGWA WATETEZI WAREJEA DAR

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba leo Januari 27,2022 wamerejea salama Dar es Salaam. Timu ya Simba chini ya Kocha Mkuu, Pablo Franco raia wa Hispani ilikuwa Kagera ambapo ilikuwa na mchezo wa ligi uliochezwa jana Januari 26. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Kaitaba ulisoma Kagera Sugar 1-0 Simba na…

Read More

KOCHA CHELSEA ATAKA ALAUMIWE YEYE

KOCHA Mkuu wa Klabu ya Chelsea, Thomas Tuchel ameweka wazi kuwa kipa wake Kepa Arrizabalaga hapaswi kulaumiwa kwa kukosa penati na hawezi kujutia kwa nini alimpa nafasi dakika za mwisho. Katika fainali ya Carabao Cup iliyopigwa juzi Uwanja wa Wembeley, Kepa alikosa penati na kuipa nafasi Liverpool kutwaa taji hilo kwa ushindi wa penalti 11-10…

Read More

VITA YA UBINGWA vs VITA YA TOP 4, MAMBO NI MOTO VIWANJANI

Tunaendelea tulipoishia wikiendi iliyopita. Manchester United na muendelezo wa michezo muhimu nap engine yenye kuamua hatma yao msimu huu. PSG nao wamerudishwa kwenye Ligue1, UEFA hawapawezi. Uturuki nako kunapambamoto, SuperLig kwenye ubora wake. Afrika napo mambo ni bambam kunako mashindano ya CAF, usikae mbali na Meridianbet!   Izundue wikiendi kwa mchezo wa Mashindano ya CAF…

Read More

KAIZER CHIEFS YAPATA KOCHA MPYA, NAI IMEBUMA

KLABU ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini imemtangaza rasmi Molefi Ntseki kuwa ndiye kocha wao mkuu kwenye timu hiyo. Kutokana na hatua hiyo, ni wazi kwamba klabu hiyo ya Kaizer Chiefs imeamua kuachanana na mpango wake wa kumpa kazi Nassredine Nabi ambaye alikuwa kocha mkuu wa Klabu ya Yanga. Nabi alikuwa ndani ya Yanga kwa…

Read More