KAZI IMEANZA, MBRAZIL AIFUMUA SIMBA, NABI ATOA MAJUKUMU MAPYA
KAZI imeanza, Mbrazil aifumua Simba, Nabi ampa kazi maalumu kiungo mpya Yanga ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
KAZI imeanza, Mbrazil aifumua Simba, Nabi ampa kazi maalumu kiungo mpya Yanga ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), leo Januari 25, 2024 limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato che nne. BOFYA KUTAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 BONYEZA LINK HAPA CHINI Matokeo ya Kidato cha Nne 2024
NGOMA imekuwa ngumu kwa wababe wote wawili kusepa na ushindi katika mchezo wa UEFA Champions League. Ubao wa Uwanja wa Santiago Bernabeu umesoma Real Madrid 1-1 Manchester City ikiwa ni hatua ya nusu fainali ya Kwanza. Vini Jr alianza kutupia upande wa Real Madrid dakika ya 36 kipindi cha kwanza bao ambalo lilisawazishwa kipindi cha…
Ubora wa hali ya hewa umekuwa ukiongoza mijadala mikubwa ya masuala ya kimataifa kwa miongo kadhaa sasa. Ndio maana Meridian Gaming Group inafanyia kazi moja ya miradi mikubwa ya mazingira kwa sasa. Kampuni hii inafanya kazi katika masoko zaidi ya 30 Ulaya, LATAM na Afrika, inapanga kutoa zaidi ya miche 20,000 katika kila soko inaloendesha…
BAKARI Nondo nahodha wa Yanga SC amesema kwa sasa kila mtu ashinde mechi zake ndani ya NBC Premier League kutokana na ushindani uliopo. Ni Yanga SC hawa ni vinara wakiwa na pointi 60 baada ya mechi 25, kwenye msimamo wanafuatiwa na Simba SC yenye pointi 58 tofauti ya pointi 2. Timu zote zimecheza mechi 25…
KWENYE mchezo wa pili wa Kombe la Mapinduzi 2024 Yanga wamezidi kupeta baada ya kupaa ushindi kwa mara nyingine tena. Walianza na funga 2023 Desemba 31 ubao uliposoma Jamhuri 0-5 Yanga wakakomba pointi tatu na kete ya pili fungua Januri 2024 ilikuwa Januari 2 2024. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Amaan ulisoma…
Katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani, Meridianbet imeonyesha upendo na kujali jamii kwa kutoa msaada wa vyakula na mahitaji muhimu kwa familia zenye uhitaji jijini Dar es Salaam. Hatua hii imeleta mwanga wa matumaini kwa kaya nyingi, ikihakikisha kuwa familia zinaweza kushiriki ibada na futari za Ramadhani bila upungufu wa mahitaji ya msingi….
Kiungo wa klabu ya Yanga, Azizi Ki, ameendelea na mazoezi pamoja na wachezaji wenzake leo, kabla ya kuungana na mke wake, Hamisa Mobeto, kwa sherehe yao ya mapokezi (reception). Sherehe hiyo inatarajiwa kufanyika baadaye leo katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki, ambapo ndugu, marafiki, na mastaa mbalimbali wanatarajiwa kuhudhuria kusherehekea siku yao maalum.
BEKI mzawa Dickson Job ndani ya kikosi cha Yanga ameweka rekodi ya kuwa mvuja jasho namba moja kwa wachezaji katika eneo la ukabaji. Nyota huyo kacheza mechi 22 akivuja jasho ndani ya dakika 1,890 kwenye kuipambania nembo ya jezi ya Yanga katika mechi za Ligi Kuu Bara. Job kutoka zilipo safu za milima ya Uluguru…
HESABU kubwa zinahitajika kwenye msako wa ushindi kwa kila timu kuwa na mpango kazi wake ndani ya uwanja kusepa na ushindi, hivyo tu basi. Mapinduzi 2024 ilikuwa ni moto wa kuotea mbali huku hesabu zikiwa kubwa kwa kila timu kuingia na mpango kazi wake kusepa na ushindi. Hapa tunakuletea namna hesabu zilivyokuwa na kujibu kwa…
Sloti ya 100 Super Icy ni moja ya Sloti ambazo zinapatikana kwa mabingwa wa michezo kubashiri kampuni ya Meridianbet ambayo kwa kiwango kikubwa imekua ikitoa washindi wa miheaa, Cheza leo Sloti hii leo umeweza kushinda kitita kizito. 100 Super Icy ni mchezo mpya wa sloti wenye kusisimua kutoka kwa watengenezaji wa michezo ya kasino ya…
LEO Desemba 28,2021 makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika na tayari timu ambazo zimetinga kwenye hatua ya makundi yapo namna hii:-
Kila mchezaji hutafuta nafasi ya ushindi ambayo haiji kwa bahati tu, bali kwa uthabiti, mikakati na promosheni zenye thamani ya kweli. Meridianbet imefungua mlango wa safari mpya ya bahati kupitia ofa kabambe ya mwezi mzima katika mchezo wa Wild White Whale. Hapa ndipo ushindi wa kila siku unapoanza kwa namna tofauti, rahisi na isiyo na…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa mashabiki ni muhimu kwenye mchezo wao dhidi ya Vipers ambao ni Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba ina kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Vipers unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally amesema kuwa kila mtu atatimiza wajibu wake kupata ushindi…
NYAMBAYA atoboa siri Simba, Yanga kucheza fainali pamoja na mkwanja wa Mama namna ambavyo zinaongeza hamasa kwa timu kusaka ushindi
ZAKARIA Thabit,Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa mchezo wao wa kirafiki wa kwanza ulikuwa ni mzuri na wana amini kwamba wamepata kitu na sababu ya kupoteza mchezo huo ilitokana na mwamba kuwa kizuizi kwa mashuti ambayo yalikuwa yanapigwa na wachezaji wa timu hiyo
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana kwa wewe kubashiri nani ambaye unaona atakuwa bingwa?. ODDS za kila bingwa zimekweka, hivyo ingia kwenye akaunti yako na ubashiri leo. Timu ya Bodø/Glimt imeonyesha kuwa imekuja na ushindi wa kimasoko na uthabiti wa kiufundi unaovutia mashabiki kote. Bodøe/Glimt wamejijengea jina kama timu inayopambana, yenye mashambulizi…