UEFA NATIONS LEAGUE INAENDELEA TENA LEO

Ligi mbalimbali barani ulaya ni kweli zimesimama lakini hiyo sio sababu ya wewe kushindwa kushinda mkwanja, Kwnai michuano ya Uefa Nations League inaendelea na michezo mikali inapigwa karibu kila siku.   Michuano hii inaweza kukupa mkwanja na wikiendi ikachangamka kwasababu palwe kwenye tovuti ya Meridianbet michezo yake imepewa Odds bomba sana, Hivo ni fursa kwako…

Read More

YANGA:TUNAZITAKA POINTI TATU ZA SIMBA

HASSAN Bumbuli, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa nguvu kubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wao wa watani wa jadi dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa Aprili 30,Uwanja wa Mkapa. Mchezo huo utakuwa ni wa mzunguko wa pili baada ya ule wa mzunguko wa kwanza ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 0-0 Yanga. Bumbuli…

Read More

MUVI YA WANANCHI KUPORWA MCHEZAJI NA WATANI IPO HIVI

UONGOZI wa Simba umefafanua mbinu ilizotumia kuinasa saini ya kiungo Fabrice Ngoma ambaye alikuwa anatajwa kuwa kwenye hesabu za watani zao wa jadi, Yanga. Nyota huyo aliyekuwa anakipiga Al Hilal ya Sudan alitambulishwa na Simba Julai 14 na alisaini dili la miaka miwili kuitumikia timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira. Yanga wanatajwa kuwa…

Read More

JEMBE AWEKA REKODI HII FIFA

MHARITI Mtendaji wa Group Group, Saleh Ally, maarufu kama Salehjembe, ameandika rekodi nchini ya kuwa mwandishi wa kwanza kupiga kura mara nne mfululizo katika tuzo za The Best FIFA Football Award. Hali hiyo inaoonyesha uaminifu mkubwa kutoka Fifa yenye makao yake makuu nchini Uswiss. Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), limemchagua kwa mara nyingine tena…

Read More

MAJEMBE HAYA YA KAZI KAMILI SIMBA KUIVAA HOROYA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kilakitu kinakwenda sawa na wachezaji wote wapo tayari. “Wachezaji wetu ambao tuliwakosa kwenye mchezo uliopita dhidi ya…

Read More

SIMBA NDANI YA IVORY COAST KUIWINDA ASEC MIMOSAS

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa unatambua mchezo wao ujao dhidi ya ASEC Mimosas utakuwa na ushindani mkubwa lakini wapo tayari kupata ushindi. Alfajiri ya Jumanne kikosi cha Simba kilianza safari kutoka Tanzania kuelekea Ivory Coast kikiwa na jumla ya wachezaji 22 pamoja na benchi la ufundi. Ni Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha yupo na kikosi…

Read More

KUTOKA KWENYE SIMULIZI ZA KNUD, MPAKA KWENYE USHINDI MKUBWA MERIDIANBET!

Turejee kutoka kwa mbobevu wa simulizi za Eskimo bwana Knud mpaka kwenye uhalisia wa ushindi wa kasino ya Mtandaoni kwenye Book of Eskimo, kutoka Expanse Studio, pale Meridianbet.   Bila shaka kila mmoja anapenda kusikia watu wakismuliana stori kuhusu uthubutu wake na ushujaa alionao – ila hii haitokei pale usipokuwa mshindi! Kasino ya Meridianbet inakusogeza…

Read More

MSHAMBULIAJI HUYU MLANGONI YANGA

INAELEZWA kuwa Sudi Abdallah, ambaye ni raia wa Burundi, ndiye straika mpya anayekuja Yanga kurithi mikoba ya Mayele anayeondoka kwenda kucheza kwenye moja ya klabu huko Saudi Arabia. Sudi mara ya mwisho Januari 12, 2023, aliuzwa na Klabu ya Al-Naft SC  ya nchini Iraq ambapo Julai 5 alijiunga na Klabu ya Kuching City ya nchini…

Read More

HT:YANGA 3-0 MBEYA KWANZA

NDANI ya dakika 45, Yanga imefunga mabao 3-0 dhidi ya Mbeya Kwanza kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaochezwa Uwanja wa Mkapa. Kasi walianza nayo ndani ya dakika 15 kwenye mchezo huo huku Mbeya Kwanza wakiwa kwenye mbinu ya kujilinda zaidi kwenye mchezo wa leo. Ni mabao ya Fiston Mayele ambaye ametupia bao la kufungulia…

Read More

KIUNGO RWANDA ATAMANI KUCHEZA NA FEI TOTO YANGA

KIUNGO mkabaji wa Kiyovu ya Rwanda, Mrundi, Ismail Nshimiyimana ‘Pitchou’, amefunguka kuwa, haitakuwa shida kwake kama ikitokea anapata nafasi ya kucheza sambamba na kiungo mshambuliaji wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei ToTo’ kutokana na uwezo mkubwa alionao licha ya kuheshimu uwepo wa Mganda, Khalid Aucho. Pitchou ametoa kauli hiyo kufuatia wiki iliyopita kufuatwa na Makamu Mwenyekiti…

Read More