NGOMA NZITO UEFA

NGOMA imekuwa ngumu kwa wababe wote wawili kusepa na ushindi katika mchezo wa UEFA Champions League. Ubao wa Uwanja wa Santiago Bernabeu umesoma Real Madrid 1-1 Manchester City ikiwa ni hatua ya nusu fainali ya Kwanza. Vini Jr alianza kutupia upande wa Real Madrid dakika ya 36 kipindi cha kwanza bao ambalo lilisawazishwa kipindi cha…

Read More

Nahodha Yanga SC: Kila mtu ashinde mechi zake

BAKARI Nondo nahodha wa Yanga SC amesema kwa sasa kila mtu ashinde mechi zake ndani ya NBC Premier League kutokana na ushindani uliopo. Ni Yanga SC hawa ni vinara wakiwa na pointi 60 baada ya mechi 25, kwenye msimamo wanafuatiwa na Simba SC yenye pointi 58 tofauti ya pointi 2. Timu zote zimecheza mechi 25…

Read More

AZIZI KI AENDELEA NA MAZOEZI KABLA YA SHEREHE YA HARUSI LEO

Kiungo wa klabu ya Yanga, Azizi Ki, ameendelea na mazoezi pamoja na wachezaji wenzake leo, kabla ya kuungana na mke wake, Hamisa Mobeto, kwa sherehe yao ya mapokezi (reception). Sherehe hiyo inatarajiwa kufanyika baadaye leo katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki, ambapo ndugu, marafiki, na mastaa mbalimbali wanatarajiwa kuhudhuria kusherehekea siku yao maalum.

Read More

JOB NI MVUJA JASHO KINOMANOMA

BEKI mzawa Dickson Job ndani ya kikosi cha Yanga ameweka rekodi ya kuwa mvuja jasho namba moja kwa wachezaji katika eneo la ukabaji. Nyota huyo kacheza mechi 22 akivuja jasho ndani ya dakika 1,890 kwenye kuipambania nembo ya jezi ya Yanga katika mechi za Ligi Kuu Bara. Job kutoka zilipo safu za milima ya Uluguru…

Read More

HAYA NI MAAJABU YA MPIRA NA MABINGWA

HESABU kubwa zinahitajika kwenye msako wa ushindi kwa kila timu kuwa na mpango kazi wake ndani ya uwanja kusepa na ushindi, hivyo tu basi. Mapinduzi 2024 ilikuwa ni moto wa kuotea mbali huku hesabu zikiwa kubwa kwa kila timu kuingia na mpango kazi wake kusepa na ushindi. Hapa tunakuletea namna hesabu zilivyokuwa na kujibu kwa…

Read More

100 Super Icy Sloti Kukupa Mihelaa

Sloti ya 100 Super Icy ni moja ya Sloti ambazo zinapatikana kwa mabingwa wa michezo kubashiri kampuni ya Meridianbet ambayo kwa kiwango kikubwa imekua ikitoa washindi wa miheaa, Cheza leo Sloti hii leo umeweza kushinda kitita kizito. 100 Super Icy ni mchezo mpya wa sloti wenye kusisimua kutoka kwa watengenezaji wa michezo ya kasino ya…

Read More

SIMBA:VIPERS HATOKI SALAMA KWA MKAPA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa mashabiki ni muhimu kwenye mchezo wao dhidi ya Vipers ambao ni Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba ina kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Vipers unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally amesema kuwa kila mtu atatimiza wajibu wake kupata ushindi…

Read More

Bodø/Glimt Wazua Taharuki UEFA Baada ya Kuwaangusha Mabingwa

Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana kwa wewe kubashiri nani ambaye unaona atakuwa bingwa?. ODDS za kila bingwa zimekweka, hivyo ingia kwenye akaunti yako na ubashiri leo. Timu ya Bodø/Glimt imeonyesha kuwa imekuja na ushindi wa kimasoko na uthabiti wa kiufundi unaovutia mashabiki kote. Bodøe/Glimt wamejijengea jina kama timu inayopambana, yenye mashambulizi…

Read More