
PABLO APIGA HESABU ZA USHINDI,SAKHO,DILUNGA MAJANGA
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba ameweka wazi kuwa wanahitaji ushindi katika mchezo wao wa Jumapili dhidi ya US Gendarmerie unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Simba iliyo nafasi ya tatu ina kazi ya kusaka pointi tatu muhimu ili kuweza kukata tiketi ya kufuzu hatua ya robo fainali. Tayari kikosi kipo kambini kwa ajili ya maandalizi…