>

POLISI TANZANIA WAPO KAMILI KWA USHINDANI

KOCHA Mkuu wa Polisi Tanzania, Malale Hamsini ameweka wazi kwamba malengo ya timu hiyo ni kufanya vizuri ndani ya Ligi Kuu Bara ili kuweza kuwa ndani ya tano bora kwa msimu wa Kocha huyo mwenye tuzo ya kocha bora wa mwezi Septemba baada ya kuanza ligi kwa mwendo wa kasi bado timu hiyo ambayo kipa…

Read More

MECHI ZA SIMBA V YANGA, KADI NYEKUNDU NJENJE

VIGOGO wa Ligi Kuu Bara, Simba ambao ni mabingwa watetezi pamoja na Yanga ambao ni mabingwa wa kihistoria wakiwa na mataji 27 ya ligi wakiwa kwenye mechi zao kwa msimu wa 2021/22 kadi imekuwa ni jambo la kawaida. Hii inatokana na ugumu wa mechi hizo pamoja na wachezaji kutumia nguvu kubwa katika kusaka ushindi jambo…

Read More

MAKIPA WALIOPATA TABU MBELE YA FEI TOTO

KWENYE ardhi ya Tanzania mbali na uzuri wa mlima Kilimanjaro pamoja na wakazi wake wenye sifa ya upole na ukarimu kuna kijana anakiwasha kwenye ulimwengu wa soka kwa kufanya kazi ya mpira ionekane kuwa nyepesi. Jina lake anaitwa Feisal Salum wengi wanapenda kumuita Fei Toto ni kijana anayewapa tabu kwa sasa makipa wa Bongo kwa…

Read More

NYOTA HAWA WATAJWA KUINGIA ANGA ZA POLISI TANZANIA

KUMEIBUKA taarifa kuwa Polisi Tanzania wapo kwenye mpango wa kuwasajili viungo wawili wa Azam FC, Mudathir Yahya na Salum Aboubakar ‘Sure Boy’ ambao wamesimamishwa.   Taarifa hizo zinadai kuwa, Polisi Tanzania wanawataka nyota hao ili kuimarisha kikosi chao na kujiweka katika mazingira mazuri ya kuwania nafasi tatu za juu kwenye msimamo wa ligi mwisho wa msimu.   Chanzo hicho kililiambia Spoti Xtra kuwa: “Upo mpango wa Azam FC kuachana na Mudathir pamoja na Sure…

Read More

STARS YATOSHANA NGUVU NA MADAGASCAR

TIMU ya taifa ya Tanzania leo Novemba 14 imelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 mbele ya Madagascar kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia. Mchezo wa leo ulikuwa ni kuhitimisha ndani ya kundi J ambapo alikuwa anatafutwa mshindi kati ya Benin na DR Congo kuweza kutinga hatua ya mtoano na mwisho ni DR Congo…

Read More

SIMULIZI YA ISHU YA SHAMBA KUWA KWENYE MGOGORO

SIMULIZI ya shamba ambalo lilikuwa kwenye mgogoro Jina langu ni Waithera kutoka katika kaunti ya Nairobi. Tulimiliki shamba katika mtaa wa kifahari wa Runda ambapo shamba hilo lilikuwa takriban ekari kumi. Mimi pamoja na mume wangu tulikuwa na hati miliki ya shamba lile na hata tulikuwa tumejenga nyumba za kokodi katika shamba hilo. Muda ulivyosonga,…

Read More

SABABU YA CHAMA KUKAA BENCHI YATAJWA

KOCHA Mkuu wa RS Berkane ya nchini Morocco, Florent Ibenge, amefunguka suala la kiungo mshambuliaji wa zamani wa Simba, Clatous Chama, kushindwa kupata nafasi ya kucheza mara kwa mara ndani ya kikosi hicho huku akiweka wazi kuwa mchezaji huyo anahitaji muda zaidi wa kukaa sawa ndani ya timu hiyo. Chama alijiunga na RS Berkane mwanzo wa msimu huu akitokea Simba sambamba na winga wa zamaniwa Yanga, Tuisila…

Read More

YANGA YAZIDI KUIMARIKA

KAMBI ya muda iliyowekwa na vinara wa Ligi Kuu Bara Yanga inatajwa kuwaimarisha mastaa wa timu hiyo jambo ambalo limemfurahisha kocha wa timu hiyo Nasreddine Nabi. Novemba 9, Yanga ilikuwa ndani ya Bahari ya Hindi na kuibukia Zanzibar ambapo ilikuwa na mechi mbili za kirafiki kwa ajili ya kujiimarisha kuelekea mechinza ligi na ilishinda zote…

Read More

BEKI MATATA AREJEA BARCELONA

DANI Alves beki matata mwenye mataji kibao ikiwa ni mafanikio yake makubwa kwa sasa amerejea tena ndani ya Barcelona baada ya kusepa hapo miaka mitano iliyopita ambapo aliibukia ndani ya Juventus na ikigota Januari anaanza kuvaa uzi wa Barcelona.   Ni makubaliano ya kikanuni ambayo Barcelona wamefikia kwa kuamua kumpa dili beki huyo wa makombe…

Read More

NABI ATAKA REKODI HII YANGA

KOCHA wa Yanga, Nasrredine Mohamed Nabi, amefunguka kuwa anahitaji timu yake iwe na uwezo mkubwa zaidi wa kumiliki mpira na kuwa na rekodi ya kupiga pasi nyingi kwenye kila mechi.   Nabi alisema soka la kisasa limebadilika sana kwa sababu timu yenye uwezo wa kumiliki mpira muda mrefu na kupiga pasi nyingi ndiyo huwa na nafasi ya kushinda mchezo kwa sababu wachezaji wanaongeza kujiamini.  Nabi amesema timu yake imekuwa na…

Read More

YANGA WAREJEA BONGO KUTOKA ZANZIBAR

BAADA ya kukamilisha kambi ya muda Zanzibar kwa ajili ye kujiweka sawa kwa mechi za Ligi Kuu Bara leo Novemba 13 kikosi cha Yanga kimerejea Dar. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ilikuwa Zanzibar na imecheza mechi mbili za kirafiki. Mchezo wa kwanza ulikuwa dhidi ya Mlandege FC na ule wa pili ulikuwa dhidi…

Read More

LIVERPOOL SASA YAMPASUA KICHWA KLOPP

JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool kwa sasa anapasua kichwa namna ya kuweza kuendelea kuwa kwenye ushindani kutokana na wachezaji wake nyota wa kikosi cha kwanza kuumia ikiwa ni pamoja na winga matata, Sadio Mane raia wa Senegal. Mane aliumia kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Togo na hakuweza kuyeyusha dakika…

Read More

MASTAA WENYE MAKOMBE MENGI ZAIDI

DANI Alves mwenye miaka 38 ni raia wa Brazil aliwahi kucheza Barcelona msimu wa 2008/16 anaingia kwenye orodha ya nyota waliotwaa mataji mengi akiwa nayo 42.   Lonel Messi raia wa Argentina anakipiga PSG yeye ametwaa mataji 37 ,afanikio yake makubwa aliyapata akiwa ndani ya Klabu ya Barcelona. Andres Iniesta mwenye miaka 37 nyota aliyekipiga pia…

Read More