SAUTI:MO DEWJI AFANYA KWELI SIMBA,AINGILIA USAJILI
MO aingilia usajili Simba afanya kweli ashusha majembe ya maana ndani ya kikosi hicho ambacho kimeweka kambi Misri
MO aingilia usajili Simba afanya kweli ashusha majembe ya maana ndani ya kikosi hicho ambacho kimeweka kambi Misri
RASMI Mghana James Akaminko, aliyekuwa anakipiga ndani ya Klabu ya Great Olympic ni mali ya Azam FC. Akaminko mwenye miaka 26 ni mmoja wa viungo wabunifu kwenye Ligi Kuu ya Ghana amesaini dili la miaka miwili. Kiungo huyo nyota, aliwahi kucheza soka la kulipwa nchini Tunisia katika timu ya US Tataouine, amepita pia kwa vigogo…
RASMI Yanga imefanikiwa kupata saini ya winga wa kimataifa wa Burkina Faso, Aziz Ki ambaye ametambulishwa usiku wa kuamkia leo Julai 15, 2022. NI usiku wa manena nyota huyo winga wa kazi aliyewapa tabu Simba kwenye mashindano ya kimataifa aliweza kutamulishwa rasmi. Nyota huyo ametokea Klabu ya ASEC Mimosas inayoshirki Ligi Kuu ya Ivory Coast ambapo…
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa SportPesa, Tarimba Abbas, amewatakia heri Klabu ya Simba kwa kuingia mkataba mpya na M-Bet, huku akiwashukuru kwa ushirikiano wao ndani ya miaka mitano ya udhamini wao. Tarimba amesema ulikuwa mkataba wa mafanikio makubwa, hivyo baada ya kupata barua yao ya kuachana nao rasmi walifurahi maana wana mengi ya kujivunia…
NYOTA wa Yanga wanatajwa kukunja mishahara mirefu mwisho wa mwezi huku Aziz KI akitajwa kukunja mshara mrefu zaidi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi
OKWA na Okrah hawa jamaa mtalala na viatu ndani ya Championi Ijumaa
KIUNGO Aziz KI anatarajiwa kutambulishwa leo Julai 14 na mabosi wa Yanga baada ya kusaini dili la miaka miwili. Nyota huyo alikuwa anacheza ASEC Mimosas mkataba wake umegota ukingoni hivyo atajiunga na Yanga akiwa ni mchezaji huru. Anakwenda kuungana na kiungo Bernard Morrison ambaye aliwahi kucheza naye kwenye mashindano ya kimataifa zama zile Morrison alipokuwa…
MASTAA watano wa kikosi cha Simba wataachwa Bongo kwa ajili ya kuweza kutimiza majukumu yao kwenye timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stasr. Kikosi cha Simba leo Julai 14,2022 kinatarajiwa kukwea pipa kueleka nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2022/23. Kwa mujibu wa Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano ndani…
STAA Raheem Sterling (27) ameandika ujumbe maalum wa kuwaaga mashabiki wa Manchester City muda mfupi kabla ya kukamilisha uhamisho wake wa kujiunga na Klabu ya Chelsea ya Uingereza. Katika ujumbe wake Sterling amewashukuru mashabiki na timu ya Manchester City pamoja na bechi la ufundi kwa ujumla kutokana na namna walivyokuwa naye katika nyakati nzuri na…
KAZI ndiyo imeanza,Mayele aja na staili mpya asisitiza anaizindua kwa Simba Ngao ya Jamii ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
MUDA wowote kuanzia sasa huenda Yanga ikamtambulisha nyota wao mpya ambaye ni Aziz KI ambaye anacheza ndani ya kikosi cha ASEC Mimosas. Yanga inaendelea kufanya usajili kwa ajili ya maboresho ya kikosi hicho ambacho kitashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga watawapa kile ambacho mashabiki wao wanasubiri utambulisho wa staa huyo raia wa Ivory Coast. Nyota…
RASMI kiungo Augustine Okrah raia wa Ghana ametambulishwa ndani ya kikosi cha Simba. Kiungo huyo alikuwa kwenye kikosi cha Bechem United ya Ghana na alifunga mabao 14 msimu wa 2021/22. Nyota huyo ana uwezo wa kucheza katika nafasi ya winga kwa umakini mkubwa na kutimiza majukumu yake. Ikumbukwe kwamba anakuwa ni mchezaji wa tatu wa…
YANGA wanatarajia kuweka kambi Ulaya ikiwa mambo yatakwenda sawa na ikishindikana basi wataangalia sehemu itakayowafaa kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23
AHMED Ally,Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano ndani ya Klabu ya Simba ameweka wazi kuwa watarejea waikiwa imara baada ya kuweka ambi nchini Misri. Kesho,kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu Zoran Maki kinatarajiwa kuweza kuelekea nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23. Ahmed ameweka wazi kuwa watakuwa kamili kuelekea nchini…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa namna ambavyo wanasajili wachezaji wenye uwezo mkubwa wapinzani wao watasubiri kuwashusha hapo walipo kwa sasa. Yanga imeweza kumalizana na nyota wa kazi ikiwa ni pamoja na kiungo Bernard Morrison,Lazarus Kambole na Gael Bigirimana ambao wana uhakika wa kuwa kwenye kikosi hicho msimu ujao. Ofisa Habari wa Yanga, Haji…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa usajili wa wachezaji wazawa ndani ya kikosi hicho ni usajili wa kuweza kusimamisha nchi kwa kuwa kila mchezaji ana thamani kubwa. Tayari Simba imetambulisha wachezaji wawili wazawa kwa ajili ya msimu ujao ikiwa ni pamoja na Habib Kyombo aliyekuwa anakipiga ndani ya Mbeya Kwanza na Nassoro Kapama ambaye alikuwa…
NYOTA wa Tanzania, Simon Msuva ameshinda kesi yake na anatajwa kuibukia ndani ya Klabu ya Yanga