Home Sports SAUTI:AZAM FC KAZI INAENDELEA,WAKAMILISHA ICT

SAUTI:AZAM FC KAZI INAENDELEA,WAKAMILISHA ICT

AZAM FC bado wanendelea na kambi nchini Misri ambapo kwa sasa wanaendelea na mazoezi kwa ajili ya msimu mpya wa 2022/23,kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Azam FC,Zakaria Thabit ameweka wazi kuwa wamekamilisha masuala ya ICT kwa wachezaji wa kigeni

Previous articleMKATABA WA SIMBA NA M-BET BILIONI 26
Next articleYANGA KILA KITU NI BYUTIBYUTI