
YANGA YATENGA DAKIKA 90 ZA KUANDAA KIKOSI KAZI
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa utatumia dk 90 kwenye mchezo wao wa kirafiki dhidi ya Mafunzo kwa ajili ya kuandaa kikosi kazi kitakachomenyana na Azam FC. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi imekusanya pointi 48 ikiwa nafasi ya kwanza inatarajiwa kumenyana na Azam FC iliyo nafasi ya 3 na pointi 28 zote zimecheza…